Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,193
- 1,659
Habari wakuu,
Nimekuwa mpenzi wa kujisomea habari za magazeti na kuandika makala kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nimefanya tafiti ndogo, nimeona jamii imeshift toka kwenye magazeti na kwa sasa wanadeal zaidi na digital works kama e-newspaper, YouTube chanels n.k. Hivyo nimeandaa matukio 10 yalowahi tikisa Tanzania tangu mwaka 1951 mpaka mwaka 2010.
Hivyo natafuta Kituo cha Televisoin au chaneli watakaoweza kubadili kuwa digital na ziwe na msisimko kama au kupita ule wa kipindi cha Jicho pevu cha KTN cha Mohamed Ali kabla hajawa mbunge.
Simu 0713-039875
Nimekuwa mpenzi wa kujisomea habari za magazeti na kuandika makala kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nimefanya tafiti ndogo, nimeona jamii imeshift toka kwenye magazeti na kwa sasa wanadeal zaidi na digital works kama e-newspaper, YouTube chanels n.k. Hivyo nimeandaa matukio 10 yalowahi tikisa Tanzania tangu mwaka 1951 mpaka mwaka 2010.
Hivyo natafuta Kituo cha Televisoin au chaneli watakaoweza kubadili kuwa digital na ziwe na msisimko kama au kupita ule wa kipindi cha Jicho pevu cha KTN cha Mohamed Ali kabla hajawa mbunge.
Simu 0713-039875