Viwanja vinauzwa kigamboni,chanika,mvuti,kerege bagamoyo,kivule na mbezi, kuanzia mil 1.5 nakuendelea, kuna viwanja karibu na baharini kigamboni , kuna vilivyopimwa na visivyopimwa : Tel 0713-95-92-90
1-Nyumba iliopo Maeneo ya Mafiga katika Manispaa ya Morogoro, nyumba inatizamana na kituo cha Mafuta ya Lake OIL inauzwa milioni 120
2-Nyumba ipo eneo la Msamvu bei yake milioni 100
3-Shamba...
Habari wana jamvi,
napenda kuwatangazia soko la vifaa vya stationery ambayo nimeifunga muda si mrefu
kuna lamination machine, binding machine, photocopy machine(inahitaji matengenezo kidogo)...
2004 Toyota Wish
63,300 km
Pearl White
Automatic Transmission
1790 cc
7 Seats (Family Car)
All Duties Paid + Registration & Insurance
PRICE: 12.7 M or Best Offer
CONTACTS:
0713662251
Habari wana jf
Nina ndugu yangu ana miaka 41 mwanaume, kwa bahati mbaya FIGO zake zote zimefeli. Tunaomba kwa anayeweza kumsaidia figo 1 afanye hivyo nasi tutamzawadia mtu huyo milioni 40...
Habari zenu wana jamvi, natumai mu wazima,Naomba kuuliza zilipo ofisi za Amagro au Association of mango growers hap a Dar es salaam. kwa anaejua naomba msaada tafadhali.Natanguliza shukrani.
UKIHITAJI, AU NDUGUYO NA RAFIKIYO, KWA MAWASILIANO MUUZAJI ANAITWA MZEE VOROGWE 0763-621-208 ANASEMA NI 22 KWA 24 KIPO KILUVYA GOGONI (KINONDONI), UMEME NA MAJI VIPO KARIBU SANA HATUA CHACHE TU...
Radio ndogo aina ya SAST ambayo ni portable ina uwezo wa kutumia flash,pia ina FM.. Uwezo wake wa sauti ni mkubwa kwani ina Hifi pia haina haja ya kutumia umeme kwani unaweza kuichaji km simu na...
Nauza gari aina ya marcedes benzi nyeusi kwa bei ya tzs 7,000,000 ni gar kali haina tatz lolote,ina cc1998,ni ya mwaka 1998,imetembea km 101000 mpka sasa,ni automatic and manual...
Habari wadau,ninatoa kozi za computer applications kama Word,excel etc,pamoja computer hardware,mtindo wa ufundishaji ni private,hivyo nakufuata mahali ulipo,kwa atayehitaji nitafute kwa namba hii...
Ninahitaji Urgently mtu wa kuprint brochure 3000. nipo dar es salaam lakini kesho nitakua mwanza. design imekamilika lakini mtu aliyefanya design kapata matatizo na ameshidwa kuprint.
Details...
Nauza gari aina ya marcedes benzi nyeusi kwa bei ya tzs 7,000,000 ni gar kali haina tatz lolote,ina cc1998,ni ya mwaka 1998,imetembea km 101000 mpka sasa,ni automatic and manual transimition,full...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.