Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 690
Wakuu natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni.
Iwe na room tatu mojawapo iwe master bedroom, umeme,maji, parking ya gari angalau tatu na iwe na fensi. Iwe inajitegemea yaani sio kuingiliana na mtu mwingine.
Bajeti ni laki mbili mpaka nne kwa mwezi kutegemeana na hali ya nyumba yenyewe.
Mwenye nayo anisms 0783 232 984
Iwe na room tatu mojawapo iwe master bedroom, umeme,maji, parking ya gari angalau tatu na iwe na fensi. Iwe inajitegemea yaani sio kuingiliana na mtu mwingine.
Bajeti ni laki mbili mpaka nne kwa mwezi kutegemeana na hali ya nyumba yenyewe.
Mwenye nayo anisms 0783 232 984