mtata mtatuzi
Member
- Jul 29, 2011
- 44
- 10
Hamjambo? Nipo Morogoro
sasa,na shahada yangu ya
Ugavi na Manunuzi toka TIA
(2012). Tayari kufanya kazi
kwa kujitolea "bila utata" ili
kumsaidia mtoa kazi na mimi mwenyewe. Nzuri zaidi ni
itayoniruhusu kuwa karibu na
jamii,na isinibane sana(maana
na me nna yangu baada ya
kazi). Haya,karibuni
sasa,na shahada yangu ya
Ugavi na Manunuzi toka TIA
(2012). Tayari kufanya kazi
kwa kujitolea "bila utata" ili
kumsaidia mtoa kazi na mimi mwenyewe. Nzuri zaidi ni
itayoniruhusu kuwa karibu na
jamii,na isinibane sana(maana
na me nna yangu baada ya
kazi). Haya,karibuni