Habari zenu!
Kuna mbongo mwenzetu ndo karudi nchini anahitaji mtaalamu wa kumshauri na kumjengea kibangalow cha ukweli (sio ghorofa) mitaa ya Mbweni.
Ramani anayo, sema ni mgeni kidogo baada ya kukaa sana nje huko, so akipata mtaalamu mwenye uzoefu wa kujenga na kununua mavitu ya ujenzi atashukuru sana.
Naomba mrecomend mafundi/wataalamu ambao mnawajua na waaminifu. Nitashukuru sana mkinipa namba zao (Pia hata ukiziweka hapa watapata biashara kwa watu wengine) Then mimi nitampelekea list yeye atawatafuta na kubargain/kuomba quotes zao na kushortlist na mambo kama hayo.
Wasiwe Expensive sanaa ila wawe wanajenga kitu high quality!.
Natanguliza shukrani
Kuna mbongo mwenzetu ndo karudi nchini anahitaji mtaalamu wa kumshauri na kumjengea kibangalow cha ukweli (sio ghorofa) mitaa ya Mbweni.
Ramani anayo, sema ni mgeni kidogo baada ya kukaa sana nje huko, so akipata mtaalamu mwenye uzoefu wa kujenga na kununua mavitu ya ujenzi atashukuru sana.
Naomba mrecomend mafundi/wataalamu ambao mnawajua na waaminifu. Nitashukuru sana mkinipa namba zao (Pia hata ukiziweka hapa watapata biashara kwa watu wengine) Then mimi nitampelekea list yeye atawatafuta na kubargain/kuomba quotes zao na kushortlist na mambo kama hayo.
Wasiwe Expensive sanaa ila wawe wanajenga kitu high quality!.
Natanguliza shukrani