Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

used laptop HP ProBook 6440b core i5, 3gb ram, 320gb hdd, for sale 380,000/- haipungui chini ya hapo inakaa na charge napatikana lego sinza!!! call 0714448864
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NATAFUTA YA i5 IWE NA WEB CAMERA, FINGER PRINT SENSOR, VINGINE UTANIELEZA UKINIPIGIA BUT IWE KWENYE GUD CONDITION SIO UMETUMIA ZAIDI YA MWAKA MMOJA NA NUSU. CALL ME 0714-40-40-57. 0755-03-39-97.
0 Reactions
2 Replies
966 Views
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, alimradi isipungue 14" na isizid 20" , inawezekaana ipo uvunguni na wala huna shida nayo, na si ajabu labda unatafauta hata mtu wa kumgawia bure...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kipyaa ndo kimepimwa, kina hati, block la kwanza kabisa ukitoka kigamboni ferry, price 30m, ukubwa 1500sq.m karibuni mnaotaka kukaa jirani na Bush, yaani ni kiwanja cha tatu kutoka eneo la New...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Anayeuza baiskeli ya gia ambayo bado haijachoka,awe newala au masasi! aandike namba yake ntampigia
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Habari wanandugu! Naomba mnisaidie kwa anayejua bei ya madishi ya free to Air "ft 6 na ft 8" full set mpaka sasa ni shillingi ngapi?
0 Reactions
11 Replies
3K Views
habari watanzania nahitaj mkopo wa haraka sana wa milioni moja dhamana yangu ni gari nina kadi na mkataba wa mauzo yan nilipolinunua.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Used phone , works perfectly !! Haina tatizo lolote kabisa, maelewano yapo!! 0688 06 10 10, 0656 664 714
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Vyumba 5. na sebule umeme na maji vipo.choo cha nje na jiko.meta 15 toka lami. anayehitaji 0763 233030 .
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanajamvi.. kwa mara nyingine device zimekuja. Kwa anayehitaji anaweza ni PM. Ni vodafone ZTE - Unaiplug kwenye TV na itakuwezesha kusurf online. Inatumia Android OS. Memory card...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
IPO DSM SPECS: Processor: Intel Pentium CPU P6200@ 2.13ghz Hard disc: 320 GB Ram: 4GB System type: 64 Bit os. Imetumika ila iko kwenye hali nzuri na inapiga kazi vizuri, iko na wireless mouse...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Nina Kiwanja kinauzwa Moshi mbele kidogo ya KCMC, karibu na Usharika wa Neema. Kiwanja ni Kikubwa, eneo la 35m x 35m = 1,225-Sqm na hakijapimwa. Kiko Mtaa Mmoja kutoka Barabara kuu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
natafuta mtu anayeweza kuniuzia mayai kwa bei ya tsh 4000. tray.. ni pm kwa maelewano zaid
0 Reactions
0 Replies
799 Views
Ni nzuri mwaka 1994 cc 4500 ac ipo 4wd green engine 42d kama unahitaji nipigie tuongee biashara no 0763340026 samahani hakuna udalali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
0 Reactions
0 Replies
580 Views
kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
0 Reactions
0 Replies
873 Views
Ni ya brown in colour bado ipo in mint condition bei yake 380000.unapata na charge na easy delivery kama uko interested ni pm..for more information
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Habarini wakuu, fremu ya biashara ya duka inahitajika maeneo ya ubungo au kimara.(eneo na bei vitajieleza vyenyewe)
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Habari wana JF Mimi natafuta majogoo ya kisasa ambayo yameanza kuwika au yako karibu sana na kuanza kuwika. nahitaji mengi zaidi ya hamsini. kwa yeyote anayefahamu mahali yanauzwa naomba anijuze...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Iphone 4, 32 gb inauzwa tzs 350,000 ni nzuri sana haina michubuko na imetumika miez 2 tu tangu inunuliwe,check me 0754865192 au 0715865192
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom