used laptop HP ProBook 6440b core i5, 3gb ram, 320gb hdd, for sale 380,000/- haipungui chini ya hapo inakaa na charge
napatikana lego sinza!!!
call 0714448864
NATAFUTA YA i5 IWE NA WEB CAMERA, FINGER PRINT SENSOR, VINGINE UTANIELEZA UKINIPIGIA BUT IWE KWENYE GUD CONDITION SIO UMETUMIA ZAIDI YA MWAKA MMOJA NA NUSU. CALL ME 0714-40-40-57. 0755-03-39-97.
wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza, alimradi isipungue 14" na isizid 20" , inawezekaana ipo uvunguni na wala huna shida nayo, na si ajabu labda unatafauta hata mtu wa kumgawia bure...
Kipyaa ndo kimepimwa, kina hati, block la kwanza kabisa ukitoka kigamboni ferry, price 30m, ukubwa 1500sq.m karibuni mnaotaka kukaa jirani na Bush, yaani ni kiwanja cha tatu kutoka eneo la New...
Habari wanajamvi.. kwa mara nyingine device zimekuja. Kwa anayehitaji anaweza ni PM.
Ni vodafone ZTE - Unaiplug kwenye TV na itakuwezesha kusurf online.
Inatumia Android OS.
Memory card...
IPO DSM
SPECS:
Processor: Intel Pentium CPU P6200@ 2.13ghz
Hard disc: 320 GB
Ram: 4GB
System type: 64 Bit os.
Imetumika ila iko kwenye hali nzuri na inapiga kazi vizuri, iko na wireless mouse...
Wadau,
Nina Kiwanja kinauzwa Moshi mbele kidogo ya KCMC, karibu na Usharika wa Neema.
Kiwanja ni Kikubwa, eneo la 35m x 35m = 1,225-Sqm na hakijapimwa.
Kiko Mtaa Mmoja kutoka Barabara kuu...
kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
kiwanja kipo njiro arusha eneo la kwa masista block J kinaukubwa wa 15 kwa 25 na kina hati miliki (title deed), na udongo wa ardhi hiyo ni mwekundu. Bei ni shilingi miliono thelathini...
Habari wana JF Mimi natafuta majogoo ya kisasa ambayo yameanza kuwika au yako karibu sana na kuanza kuwika. nahitaji mengi zaidi ya hamsini. kwa yeyote anayefahamu mahali yanauzwa naomba anijuze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.