Bei ni Tsh.5000000
ni ya mwaka 1999
rangi nyeupe.
ina hali nzuri kama ionekanavyo kwenye picha hapo chini.
Kwa maelezo zaidi.
Wasiliana nasi kwa simu;
0715781068
au
0757374344
au
email...
Natafuta nyumba ya kununua Gongo la mboto iliyo na hati.
Bei iwe kati ya Milioni 25 mpaka 30 ila ifanane na bei yake.
Location: Isiwe mbali na barabara ya lami ya pugu kuzidi kilomita 5
Status...
Get hotels and flight discount,
Get payed holiday to different countries
Get $1000, $10,000 n more.
Be a member today. Onetime
Membership $375
More details PM
Natafuta tenda ya jiko
kwenye bar/grocery/restaurant ya
kuandaa vyakula kuanzia
supu, vyakula vya mchana na
uchomaji wa nyama, mkataba ni maelewano kuendana na sehemu yenyewe ilipo na flow ya...
Habari wana jamvi....nauza tablet yangu samsung galaxy note 10.1 kwa laki 8 na maongezi yapo
Labda nitaje sababu ambazo zimenifanya niuze hii tablet ni kwamba nataka nibadilishe nitumie aina...
Habari zenu wakuu, nahitaji gari aina ya Rav 4 Manual transmission, 5 Doors, Year 1998 - 2000.
Weka details za gari ikiwezekana na picha kama zipo na bei yako.
Asante sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.