Kwa mwenye T-shrt rangi ya njano tuu..

Kwa mwenye T-shrt rangi ya njano tuu..

1gb

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2013
Posts
2,389
Reaction score
3,285
Habari zenu wana jf.Natafuta T-shirt za rangi ya njano,zaidi ya 30,zenye kora/ukosi kwa bei ya jumla,zisiwe na maandshi,picha wala michoro yoyote.Kwa mwenye nazo ani pm.
 
Habari zenu wana jf.Natafuta T-shirt za rangi ya njano,zaidi ya 30,zenye kora/ukosi kwa bei ya jumla,zisiwe na maandshi,picha wala michoro yoyote.Kwa mwenye nazo ani pm.
Hii rangi naichukia sana!!
 
Hii inahusiana na kile chama cha majambazi ni ngumu kupata
 
Wasiliana na ofizi zetu mtaa wa Lumumba, usisahau kuchukua kofia.
 
Habari zenu wana jf.Natafuta T-shirt za rangi ya njano,zaidi ya 30,zenye kora/ukosi kwa bei ya jumla,zisiwe na maandshi,picha wala michoro yoyote.Kwa mwenye nazo ani pm.

hapo blue sijaelewa.....unazungumzia kora music awards au......?........halafu hizi awards ziliishiaga wapi........?
 
ikiwa na kola ni Polo -shirt au form 6?? Je ndiyo mahitaji yako??
 
Yani ukitaja hyo rangi namkumbuka mwigulu na ile skafu yake then nasikia kichefchef na kutapika!
 
Wasiliana na ofizi zetu mtaa wa Lumumba, usisahau kuchukua kofia.
Sihitaji za Lumumba.Nataka fm six kama kuna sehem nyingine tofauti na Lumumba na zisiwe za **m itakuwa poa zaidi.
 
ikiwa na kola ni Polo -shirt au form 6?? Je ndiyo mahitaji yako??
Ndio mkuu.na kwa wengne waelewe hiv!
Angalizo;hii haihusiani na chama chochote cha Siasa au kwa timu yeyote ya mpira wa miguu,pete,volleyball,american football n.k.iwe ya ndani/nje ya nchi.
Kama kuna muungwana anafaham wapi zinapatkana kwa wingi,ani pm plz!
 
hata kama hazihusiani na chama au timu lakini ukienda ofisi yoyote ya ccm na kwa mkoa wowote huwezi kosa mkuu.... daah aliekupa hii tenda atakuwa gamba tu na ukimpelekea za magamba lazima akuongezee tenda
 
Back
Top Bottom