General Information
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G No
4G No
SIM Dual Mini SIM card
Status Available May 2012
Body
Dimensions109.9 x 60.6 x 13.4 mm
Keyboard Touchscreen
Display
Type HVGA...
Wakuu,
Naomba ushauri kuhusu ubora wa RAV4 yenye ingine code 1AZ . Ni RAV4 ya mwaka 2000. Nitashukuru kupata ushauri kwa mtu mwenye gari ya aina hii au kwa mtu anaezifahamu vizuri.
Natanguliza...
Ni nyumba kubwa inafaa kwa kupangisha.. Ipo kihesa na iko katika hali nzuri kabisa.. Bei ni million 42... mwenye uhitaji anaweza nipm nikaenda kumpeleka aikague.. Haina dalali muhusika mimi mwenyewe.
habari wadau ndugu zangu nina mpango wa kufungua barbeshop sasa naulizia mwenye ufahamu wapi? naweza pata viti vizuri vya gharama ya kawaida offer yangu mi laki tano(500,000) kwa kiti kimoja...
Wana jamii naomba kujuzwa ni brand gani nzuri ya tairi hizi (size 215/70R16) naweza tumia kwa muda wa zaidi ya miaka 2 kwa matumizi ya gari. Wastani wa umbali nitembeao kwa gari ni 30-35km kwa...
Natafuta chumba cha kupanga
maeneo ya sayansi mpaka Morroco, Sinza au Mikocheni.
sifa za chumba ni:-
1. Iwe chumba na sebule self
contained na jiko, maji na umeme.
2. Ndani ya fensi
3. Pawe...
Hi Members
Kwanza nitangulize shukrani.
Nipo katika maeneo ya kijitonyama-Dar Es Salaam na nina Mpango wa kufanya biashara ya mazao ya shamba maarufu sana kama Mali Mbichi.Naombeni maujuzi yenu...
The car is used oveseas, it is to be imported
- air condition
- diesel
- manufactured 2000
- manual gear
- electric windows and mirrors
- tempomat
- RHD
- alloy wheels
-engine 2700cc
-mileage...
Nyumba ya kisasa inauzwa.
MAHALI: Ipo Yombo, Temeke, Dar es salaam.
MAUMBILE: Ina vyumba vitano, sehemu mbili za kupumzikia, sehemu ya kula chakula pamoja na chumba cha jiko. Ina vyoo viwili...
wadau ninahitaji laini ya tigo pesa ya kununua kwa ambaye anayo na haitumii au anauza naomba anicheki kwa namba hiyo hapo,nimetembelea tigo shop tofauti tofauti wanasema wamesitisha kwanza...
Nauza ipad 2 64GB, ni mpya ila zinakuja na cable yake tu. Bei ni laki sita.
Tuwasiliane kwa 0655003510
Sent from my BlackBerry Bold Touch 9930 using Tapatalk
We looking for a few companies to sponsor in our event that's happening soon in Dar es salaam and that will be a major crowd pull off.
Its a classic event.
Please PM me with info :
Major...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.