Nina NOKIA 2700classic. Weka bei tufanye biashara.

Nina NOKIA 2700classic. Weka bei tufanye biashara.

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
248
Sasa ivi natumia NOKIA E72. So, hii NOKIA 2700classic nataka niiuze. Cha kubadilisha kwenye hii simu labda ni housing tu, tena hata hivyo haijaisha sana. Ila unaweza ukaibadilisha ukipenda. Weka bei, ikiniridhisha tufanye biashara.
 
Sasa ivi natumia NOKIA E72. So, hii NOKIA 2700classic nataka niiuze. Cha kubadilisha kwenye hii simu labda ni housing tu, tena hata hivyo haijaisha sana. Ila unaweza ukaibadilisha ukipenda. Weka bei, ikiniridhisha tufanye biashara.

MWanangu nipe bei wwe m niichukue
 
Sasa ivi natumia NOKIA E72. So, hii NOKIA 2700classic nataka niiuze. Cha kubadilisha kwenye hii simu labda ni housing tu, tena hata hivyo haijaisha sana. Ila unaweza ukaibadilisha ukipenda. Weka bei, ikiniridhisha tufanye biashara.

30 elfu
 
Dah! Mi bajeti yangu nakupa elfu 50 cash. Nipatie hiyo kitu aisee.



( jamani tulieni niichukue mimi ).
 
Mkuu unanibania kisa pesa yangu ndogo,poa tu mwana,lakini huwezi jua 20000 yangu ina thamani gani kwako
 
Mkuu unanibania kisa pesa yangu ndogo,poa tu mwana,lakini huwezi jua 20000 yangu ina thamani gani kwako

hapana ndugu yangu. Mi sijasema kuwa pesa yako ni ndogo. Isipokuwa tu haina masilahi.
 
Ina tochi?
Mkuu, NOKIA 2700classic haina tochi. Hii ni Orijino kabisa. Ina sehemu ya kuweka memory card. Camera ni 2 mega pixel. Ina FM Radio. Ina internet ( WEB ) n.k

Ni laini moja. Made in India

weka bei mkuu
 
nzur hyo cm nimewah kuitumia inatosha kwa matumiz madogo

Sawa sawa ndugu, hii simu nzuri sana. Mi nilikuwa nayo ila wakora wakanichomolea. kwa sisi tunaopenda kuwa online kila inatufaa sana. Net take imetulia si mchezo.
 
Acha kunibania kaka, kamata 50 fasta. PM me your namba.
 
Sawa sawa ndugu, hii simu nzuri sana. Mi nilikuwa nayo ila wakora wakanichomolea. kwa sisi tunaopenda kuwa online kila inatufaa sana. Net take imetulia si mchezo.

Japo ni 2g ila ina voicekomandi yani unataja 2 jna la m2 kwenye 4nbuku inapiga yenyewe :
 
Back
Top Bottom