Nauza simu aina ya Samsung galaxy R.
8gb internal memory
1gb RAM
5mp flash camera + front camera
Haina shida yoyote.
Nipo Arusha.
Contacts; 0786305664
BEI 330K
Ni eneo la Mbezi Mwisho karibu na Mbezi Luxury Resort! Unawezapita Mbezi Kimara au Goba kupitia Makongo juu
Vyumba vitatu, choo, jiko na sitting room, hizi ziko nne (Bei Shs 300,000 kwa mwezi)...
Nipo zanzibar mjini kununua onana na mimi iko very good condition with automatic door system even back door come and see for ur self full with navigation system
contact me 0785 996663
Cruiser motors Tanzania Ltd.....ni wauzaji wa pikipiki bora na za kisasa kwa bei nafuu....kuanzia milion 1 na laki nne na nusu....piga ..tupo kkoo mtaa wa mafia...piga simu namba 0658904648
Nakodisha gari yangu binafsi shilingi elfu harobaini kwa siku nzima, mafuta juu yako.
Gari lenyewe ni : Make - toyota
model -caldina new model
iko katika hali nzuri sana...
Hello
Nauza galaxy s3 mpyaa rang ya maroon kwa lak 6, especially kwa watu wa dodoma. Sabab za kuiuza n kwamba nmeishiwa pesa, na cna hata shlng na nko dodoma ugenn.
Habari zenu wadau
Nahitaji OVEN Machine Kubwa ya Deck 1 hadi 3 (Gas or umeme) ya kukodisha au used inayouzwa, Mwenye nayo au info kuhusiana na hili tufahamishane wadau.
Habari wanajf,mimi ni mkulima wa alizeti,
sijawa na uwezo wa kununua mashine ya kukamua alizeti.
Sasa ningependa kufahamu hizi mashine naweza kuzipata wapi ktk mikoa ya morogoro na Dar,
na bei...
Nauza laptop mpya aina ya HP(HSNNC31C)pichani. Processor 2.00GHZ, Ram 1GB, BIT 64,DUO CORE, Hard disk 300GB, web cam NO!, DVD ROOM YES!, COLUR BLACK..BEI NI 400,000/= laki nne TU.kwa...
I am looking for a fresh apples supplier.serious individuals with a registered company only.A bank account is a must.email me:charles@liberty-eagle.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.