Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Uki google utapata data zote unazohitaji mkuu. Kuanzia performance mpaka engine size na makila kitu.
Mtumie google. Hana gharama. Mshikaji poa sana
Uki google utapata data zote unazohitaji mkuu. Kuanzia performance mpaka engine size na makila kitu.
Mtumie google. Hana gharama. Mshikaji poa sana
Google nimekuta ni vvti,2.4litre, 7.8l/100km, na ni gari nzuri sana kwa kwl hata kabei kake kamesimama. Lkn je kwa road zetu itaweza
Google ina apply nchi za wenzetu, sisi tuna standard zetu ndio mana tunapitisha magari kwenye brbr za vumbi wkt ni za kwenye lami.
Toa ushauri mdg wako nichukue mkoko huo
Chukua tu acha uoga. Huyo ni kama mke. Unamuendesha kidogo kidogo hamna haja ya papara. Popote unapita kaka mwendo wa kinyonga tu. Wese lako tu hapo ndo litalohusika zaidi.
Kazi ni kwako