Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nahitaji pikipiki aina ya boxer bm 100 ama 150, ama honda zilizoingia sasa engine capacity 125. Bei isizidi 1,000,000. Kama unayo ni pm mara moja. Ni mkazi wa ilala dar.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
nahitaji shamba la kukodi eka 200 mpaka 500
0 Reactions
1 Replies
1K Views
NYUMBA IMEPATA MNUNUZI NA KUUZWA LEO NYERERE DAY. kWA WALE AMBAO WANAHITAJI NYUMA YA KUNUNUA KWA BAJETI KAMA HIYO WANAWEZA KUWASILIANA NAMI KWA NAMBA HIYO HAPO JUU. ASANTENI SANA
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya wanafunzi University of Iringa (Tumaini University). Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Ninauza Samsung tablet 2, 7inches, Model number GT - P3100 Bei ni laki 5 na nusu. Nipo Arusha. Contacts; 0786-305664
0 Reactions
0 Replies
632 Views
:A S new::A S new: 3 ROOMS, MASTER BEDROOM, JIKO, SEBULE, ina fence, nyumba ina TILES, 0776 000084
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ninahitaji Appartmnt ya kupanga Dar es Salaam kwa muda wa mwezi wa 11 kwa Shilingi 500,000/-. Maeneo ya K/Nyama, Makumbusho/ Mikocheni A or B/ Oysterbay/ Msasani or Upanga. Iwe furnished tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ni mpyaaaaa kabisa aina ya olympus no.u-7010 Optical zoom 5.0-35.0mm' 12 megapixel made in indonesia designed by Olympus in Tokyo...bei ya kutupwa nitafute 0689545870...sina hela thats why naiuza...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana Jf, nina kiwanja Iringa mjini kina ukubwa kama wa Hekari moja. Nataka nikipime na nikate hati. Kwa anayefahamu itanicost Tsh ngapi, kukifanyia vipimo na kukata hati chote. Mchango...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Model: Samsung 530U3BI Processor: intel(R) Core i5 - CPU @1.60GHz (4 CPUs) Ram: 4GB HDD: 160GB Battery life: 5 hours Location: Sinza Dar Condition: used but not in Tanzania...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kipo kihonda kwa chambo. Ukubwa 600sq kina hati kimepimwa. Huduma ya maji ipo, umeme upo. Ipo barabaran. Na kutoka barabara kuu ya dodoma km 3. Bei maelewano. Contact. 0715500248
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kiko tungi karibu kabisa na barabarani.ukubwa futi 19/30,bei 5,500,000/=.sim 0717/0758 373037
1 Reactions
8 Replies
2K Views
aina yeyote ile but isiwe na tatizo lolote contact me through 0769575725
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Laptop inahitajika haraka.Yenye specifications zozote Ila iwe na HDD 300gb na kuendelea. Ofa yangu ni shilingi 400,000.
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Anadawa hasili za kutibu na kuondoa kabisa tatizo la NGUVU ZA KIUME na kukupa uwezo wakurudia tendo zaidi ya mara 4 na kuchelewa kufika kileleni kwa muda wa ( dakika 30- 35 ) pia na kurefusha na...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ina Vyumba vitatu vya kulala, jiko, subure, garage ya magari mawili, uzio. Ipo pembezoni mwa Sokoine Drive Road. Bei maelewano. Mawasiliano. 0755312233
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rav4 iko ktk condition nzuri inauzwa bei mil 10 imetembea km 117000 rangi ya green, hatuitaji dalali, wasiliana nasi 071380200x
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ina vyumba vinne vya kulala. Ipo pembezoni mwa ''New Bagamoyo Road''. Kodi maelewano. Ulizia kwa kupiga simu hii au tuma sms au kwa njia ya WhatsApp. 0755312233
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa shs laki tatu na nusu. Imetumika kwa mwezi mmoja. IPO name chaja yake, inafungua program zote ikiwemo play store bila wasiwasi. Contact 0714-408238.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, jiko baraza kubwa. Kodi shs 300,000 kwa mwezi Kuiona piga simu 0755312233
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…