Nahitaji pikipiki aina ya boxer bm 100 ama 150, ama honda zilizoingia sasa engine capacity 125. Bei isizidi 1,000,000. Kama unayo ni pm mara moja. Ni mkazi wa ilala dar.
NYUMBA IMEPATA MNUNUZI NA KUUZWA LEO NYERERE DAY. kWA WALE AMBAO WANAHITAJI NYUMA YA KUNUNUA KWA BAJETI KAMA HIYO WANAWEZA KUWASILIANA NAMI KWA NAMBA HIYO HAPO JUU. ASANTENI SANA
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya wanafunzi University of Iringa (Tumaini University).
Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa...
Ninahitaji Appartmnt ya kupanga Dar es Salaam kwa muda wa mwezi wa 11 kwa Shilingi 500,000/-. Maeneo ya K/Nyama, Makumbusho/ Mikocheni A or B/ Oysterbay/ Msasani or Upanga. Iwe furnished tafadhali.
Ni mpyaaaaa kabisa aina ya olympus no.u-7010
Optical zoom 5.0-35.0mm' 12 megapixel made in indonesia designed by Olympus in Tokyo...bei ya kutupwa nitafute 0689545870...sina hela thats why naiuza...
Wana Jf, nina kiwanja Iringa mjini kina ukubwa kama wa Hekari moja.
Nataka nikipime na nikate hati.
Kwa anayefahamu itanicost Tsh ngapi, kukifanyia vipimo na kukata hati chote.
Mchango...
Model: Samsung 530U3BI
Processor: intel(R) Core i5 - CPU @1.60GHz (4 CPUs)
Ram: 4GB
HDD: 160GB
Battery life: 5 hours
Location: Sinza Dar
Condition: used but not in Tanzania...
Kipo kihonda kwa chambo. Ukubwa 600sq kina hati kimepimwa. Huduma ya maji ipo, umeme upo. Ipo barabaran. Na kutoka barabara kuu ya dodoma km 3. Bei maelewano. Contact. 0715500248
Anadawa hasili za kutibu na kuondoa kabisa tatizo la NGUVU ZA KIUME na kukupa uwezo wakurudia tendo zaidi ya mara 4 na kuchelewa kufika kileleni kwa muda wa ( dakika 30- 35 ) pia na kurefusha na...
Ina Vyumba vitatu vya kulala, jiko, subure, garage ya magari mawili, uzio. Ipo pembezoni mwa Sokoine Drive Road.
Bei maelewano. Mawasiliano. 0755312233
Ina vyumba vinne vya kulala. Ipo pembezoni mwa ''New Bagamoyo Road''. Kodi maelewano.
Ulizia kwa kupiga simu hii au tuma sms au kwa njia ya WhatsApp. 0755312233
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa shs laki tatu na nusu. Imetumika kwa mwezi mmoja. IPO name chaja yake, inafungua program zote ikiwemo play store bila wasiwasi. Contact 0714-408238.