13.3 inch Samsung Laptop for only TZS 400,000/=

13.3 inch Samsung Laptop for only TZS 400,000/=

baraka607

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2010
Posts
844
Reaction score
168
Model: Samsung 530U3BI
Processor: intel(R) Core i5 - CPU @1.60GHz (4 CPUs)
Ram: 4GB
HDD: 160GB
Battery life: 5 hours
Location: Sinza Dar
Condition: used but not in Tanzania.

ImageUploadedByJamiiForums1381375593.333014.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1381375606.142452.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1381375620.433255.jpg

PRICE: TZS 400,000/=
Call: 0689658811
 
Baraka hiyo laptop haina tatizo lolote?
Imetumika mda gani tangu imenunuliwa?
Ukinijibu haya maswali nakutafuta mkuu
 
Haina tatizo lolote na imetumika miezi miwili tu. Ukiiangalia huwez hata kujua kama imeshawah kutumiwa. Hii ni biashara yangu ya kuuza electronics kwahiyo usiwe na hofu.
Baraka hiyo laptop haina tatizo lolote?
Imetumika mda gani tangu imenunuliwa?
Ukinijibu haya maswali nakutafuta mkuu
 
Haina tatizo lolote na imetumika miezi miwili tu. Ukiiangalia huwez hata kujua kama imeshawah kutumiwa. Hii ni biashara yangu ya kuuza electronics kwahiyo usiwe na hofu.
baraka607 naomba nikutafute baadae baadae kweli nna uhitaji lakini kwa sasa nimefanya transaction moja imenipunguzia mfuko.
 
Last edited by a moderator:
Sinza kubwa Baraka

Najua mkubwa, ila ukiwa mteja serious ukipiga simu utaelekezwa ufike. Ila kwa manufaa ya wakuu wengine ni sinza opposite na mlimani city.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Najua mkubwa, ila ukiwa mteja serious ukipiga simu utaelekezwa ufike. Ila kwa manufaa ya wakuu wengine ni sinza opposite na mlimani city.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
nimekucheki ila namba yako haipatikani



Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom