Gharama ya kupima kiwanja.

Gharama ya kupima kiwanja.

MansaMusa

Senior Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
103
Reaction score
13
Wana Jf, nina kiwanja Iringa mjini kina ukubwa kama wa Hekari moja.

Nataka nikipime na nikate hati.

Kwa anayefahamu itanicost Tsh ngapi, kukifanyia vipimo na kukata hati chote.

Mchango wako ni muhimu ndugu.
 
Back
Top Bottom