Kiwanja kinauzwa morogoro mjini

Kiwanja kinauzwa morogoro mjini

maula mrs

Senior Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
114
Reaction score
18
Nauza kiwanja kiko tungi karibu kabisa na barabarani.ukubwa futi 19/30,bei 5,500,000/=.sim 0717/0758 373037
 
Kimepimwa? Hiyo size ni Medium Density ama High Density? Na ni Tungi ipi?
 
Kimepimwa? Hiyo size ni Medium Density ama High Density? Na ni Tungi ipi?
mkuu kimepimwa,size medium ni Tungi ile ukipita kidogo sn mnada wa nane nane kuna ukumbi mkubwa umejengwa hapo karibu na masister
 
Nauza kiwanja kiko tungi karibu kabisa na barabarani.ukubwa futi 19/30,bei 5,500,000/=.sim 0717/0758 373037
mkuu heb niweke sawa fut 19*30 unamaanisha mita 6*10? ambazo zinakaribiana na hatua 6 kwa hatua 10?
 
Haya mambo ya hatua yashapitwa na wakati, kama vipimo vinavyojulikana vipo bado tunang`ang`ania mambo ya mwaka 47,, sema ni meter ngapi kwa ngapi maana popote inajulikana,,, sasa hizo hatua ukiwa mfupi je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom