Rooms Available; for students at University of Iringa (Tumaini)

Rooms Available; for students at University of Iringa (Tumaini)

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
536
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya wanafunzi University of Iringa (Tumaini University).
Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa usiku.
Baadhi ya vyumba kuna kitanda cha double decker vya futi 2.5.

Ni umbali wa mita mia tatu kutoka Chuoni.

Mawasiliano: 0719055711/ 0787377511
 
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya wanafunzi University of Iringa (Tumaini University).
Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa usiku.
Baadhi ya vyumba kuna kitanda cha double decker vya futi 2.5.

Ni umbali wa mita mia tatu kutoka Chuoni.

Mawasiliano: 0719055711/ 0787377511

Mbona bei hausemi?
 
Bei za iringa zinajulikana mkuu 15,000 kwa mwez.....si unajua mikoani nyumba sio issue
 
Samahani Mkuu, nilitoweka kwa muda, bei ni shilingi 50,000/- kwa mwezi, inalipwa kwa mkupuo wa miezi sita.[/QUOTEhiyo co bei ya vyumba nnavyovijua mm iringa karbu na chuo.hcho n 30000-35000
 
Bei za iringa zinajulikana mkuu 15,000 kwa mwez.....si unajua mikoani nyumba sio issue

iringa umeondoka mwaka gani? unauhakika na ulichokiandika? sasa hv sehem km tumain kupata rum hata ya alfu 30 ni ishu.
 
wait a min...!!!

50,000 per month? Maji na Umeme bure au juu yetu wapangaji?

Utashangaa hapo umeme Luku mnachangia wakaaji na.nnavowajua wanachuo ma friji+pasi za umeme+ata majiko+mazagazaga kibao ya umeme, kila mwezi unatoa 20.
Tukija bili ya maji je? nayo 15.

Si bora ukae TRM au Mwang'ingo chumba ata cha.15 utapata, ila sio self, ila kuna maji na umeme. Ikabaki kwako nauli tu. (to and fro mia 8 per day=5,600 per week = kama 20 hivi per month).

Na ukiweza unanunua baiskeli kabisa kukata mzizi wa fitina kuhusu Nauli.

Hao Wamissionari wa Tumain ebu wajenge Hostel za maana sio kuwafanya wanafunzi waangaike hivi. Boom lenyewe liko wapi??
 
wait a min...!!!

50,000 per month? Maji na Umeme bure au juu yetu wapangaji?

Utashangaa hapo umeme Luku mnachangia wakaaji na.nnavowajua wanachuo ma friji+pasi za umeme+ata majiko+mazagazaga kibao ya umeme, kila mwezi unatoa 20.
Tukija bili ya maji je? nayo 15.

Si bora ukae TRM au Mwang'ingo chumba ata cha.15 utapata, ila sio self, ila kuna maji na umeme. Ikabaki kwako nauli tu. (to and fro mia 8 per day=5,600 per week = kama 20 hivi per month).

Na ukiweza unanunua baiskeli kabisa kukata mzizi wa fitina kuhusu Nauli.

Hao Wamissionari wa Tumain ebu wajenge Hostel za maana sio kuwafanya wanafunzi waangaike hivi. Boom lenyewe liko wapi??

Mkuu, unaongea usichokijua. Yawezekana sijakuelewa unachotaka kusema, hapo suala ni Tumaini University au ni bei ya soko kwa mazingira ya Vyuo Vikuu? Nenda SAUT, UDSM i.e Changanyikeni, Makongo, Survey au hata IFM wanaokaa maeneo ya karibu na chuo na uulize bei zinakwenda.

Kanunii ya masoko na bei iko wazi, ma ndio inayotawala popote.
 
Back
Top Bottom