Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Wadau, kuna vyumba kwa ajili ya wanafunzi University of Iringa (Tumaini University).
Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa usiku.
Baadhi ya vyumba kuna kitanda cha double decker vya futi 2.5.
Ni umbali wa mita mia tatu kutoka Chuoni.
Mawasiliano: 0719055711/ 0787377511
Vyumba ni self contained, maji na umeme. Nyumba ina maji na umeme na imezungushiwa uzio na kuna mlinzi wa usiku.
Baadhi ya vyumba kuna kitanda cha double decker vya futi 2.5.
Ni umbali wa mita mia tatu kutoka Chuoni.
Mawasiliano: 0719055711/ 0787377511