Kwa wakazi wa Dar es Salam, kuna viwanja vinne vyenye ukubwa wa hatua 20x20, bei ni mil. 4 kila kimoja,. Viwanja vipo Pugu Kinyamwezi mbele kidogo ya Kigogofresh njia ya kwenda Chanika. Gari...
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
Wakuu, habari ya mchana
Nimepitia thread mbalimbali humu katika kipindi hiki ambacho nataka kununua simu nzuri kwa ajili ya kunipa tafu katika mambo ya ofisi hasa ninapokuwa mbali na ofisi na...
SBT japan wametoa Offer ya mwaka nunua (GX110 and GX100) zote kwa kiasi cha USD 4,500 (7.2million) yote yamefika Dar es Salaam port 21st October 2013. Yanauzwa yote kwa pamoja na sio moja moja...
Hi,
Unapata any IT/Software/Project (iwe za chuo au Personal) Problems au any matters related to Technology...no need to panic...jusT Create a ticket here Support » 8gig Consulting and describe...
Habari zenu wanaJF..., naomba mtu mwenye taarifa ya namna ya kupata soko la korosho zilizobanguliwa aina zote mbili (white na brown) toka Mtwara. Packing ni kilo moja kwa kila package. Nahitaji...
Habari Wakuu na Poleni kwa Majukumu,
Platform iliyotumika:backend scripts php framework-CodeIgniter na dbms-Mysql
Wenye shule-School Management Information System
Wenye Zahanati-Dispensary...
Jamani nimepitia humu JF watu wanalaumu yard za bongo. mara wanabadilisha engine, mara wanatoa dubai machakavu,mara wanabadisha vifaa.Hivi hakuna yard inayoagiza kutoka japani ambayo...
Habarini humu ndani.
Jamani nahitaji Nyumba ya kupanga
iwe chumba na sebule. Maeneo ya ilala, malapa. Pia Ubungo hasa riverside na Pia Ubungo Maziwa na mabibo mwisho.
Umeme na maji Pia muhimu...
nina simu yangu ya blackberry Z10 sasa hivi sipati application ya whatssApp, inaniambia ni update software yake kwa kutumia wi-fi nimejaribu kufanya hivyo imegoma, msaada kama yupo mwenye idea yeyote