Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 643
Wakuu, habari ya mchana
Nimepitia thread mbalimbali humu katika kipindi hiki ambacho nataka kununua simu nzuri kwa ajili ya kunipa tafu katika mambo ya ofisi hasa ninapokuwa mbali na ofisi na wakati ambapo sihitaji kusafiri na laptop. Nimegundua kwamba simu nzuri ni za samsung ingawa mimi nilipenda sony xperia maana niliziona pale mlimani city zinauzwa sh. 480,000. Tatizo linakuja pale ninapokutana na samsung s2/3/4, note na tab. Nini tofauti yake? nichukue ipi itakayonisaidia yafuatayo
-portability
-fast internet
-user friendly
-kutunza charge
-video conference
KARIBUNI
Nimepitia thread mbalimbali humu katika kipindi hiki ambacho nataka kununua simu nzuri kwa ajili ya kunipa tafu katika mambo ya ofisi hasa ninapokuwa mbali na ofisi na wakati ambapo sihitaji kusafiri na laptop. Nimegundua kwamba simu nzuri ni za samsung ingawa mimi nilipenda sony xperia maana niliziona pale mlimani city zinauzwa sh. 480,000. Tatizo linakuja pale ninapokutana na samsung s2/3/4, note na tab. Nini tofauti yake? nichukue ipi itakayonisaidia yafuatayo
-portability
-fast internet
-user friendly
-kutunza charge
-video conference
KARIBUNI