darasa7
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 395
- 61
Jamani nimepitia humu JF watu wanalaumu yard za bongo. mara wanabadilisha engine, mara wanatoa dubai machakavu,mara wanabadisha vifaa.Hivi hakuna yard inayoagiza kutoka japani ambayo inahaminika!!! mi napenda unaenda yard unacheki kitu unapenda unanunua,tunaangusha wabongo