Wakuu mwenye laini ya tigo pesa nanunua, dau ni 120k , mwenye nayo tufanye biashara
120k ndo nini? Ligha hiyo ngeni.
serious,km una 1million nipm
mpesa tigo pesa , no faida . ukweli biashara nyingine ni za kuigana au sifa tu,
mi ninayo laki sita tuu, 0656299246
Wakuu mwenye laini ya tigo pesa nanunua, dau ni 120k , mwenye nayo tufanye biashara
mkuu nataka kupeleka kijiji kimoja hivi wanahitaji sana hiyo huduma
Kama unapeleka kijijini nenda Tigo waeleza kuwa kijiji fulani hakina hiyo huduma watakupa au kukuelekeza kwa wakala ambaye atakupatia, na sometimes kama kuna ofisi iliyo karibu na kijiji hicho(mkoani au wilayani) watakuunganisha nayo, kwani sasa hivi priority yao iko uko .
Line ya tigo pesa ipo inapatikana kwa laki nane serious buyer ani pm