Price/Bei 16.8mls
Cont: 0719223839
Bmw 3 Series M sport[emoji259] EDM
Year 2011-2012 (MWAKA WA JUU[emoji102])
Cc 1990
Low Km 60000
Full Options[emoji736]
Sports & New Tyres
Clean Condition
Navunja...
Price/Bei 15.7mls
Cont: 0756553292
Bmw 3 Series ECY
Year 2008
Cc 1990
Low Km 99000
Full Options[emoji736]
Sports & New Tyres
Clean Condition
Navunja Na Gari yoyote°°
Utangulizi.
Thamani ya ardhi yako inapoongezeka huathiri bei ya ardhi husika. Mara nyingi thamani 6a ya ardhi na bei yake huenda pamoja lakini sio lazima. Thamani inaweza kupanda na bei...
Karibu tukutengenezee 2d&3d logo kwa ajili ya kikundi,ofisi,kampuni,taasisi,brand au matumizi yako binafsi kwa tsh 10000 tu
Hii ni offer kuelekea msimu huu wa sikukuu
Kuanzia tar 1 january bei...
Shamba la kulima mpunga linapangishwa, Ekari 60. Liko kijiji Cha Nyeregete, Kitongoji cha Magwalisi. Lina miundombinu mizuri ya kuingiza na kutoa maji shambani. Shamba lina uhakika wa maji. Liko...
Nauza kiwanja cha viwanda vidogo DODOMA mjini eneo la Nala CHINANGALI, block EE, tazama kwenye picha kiwanja namba 384 SQM 3954, ni hatua chache toka barabara kuu ya kwenda singida, kiwanja kina...
Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini
Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi
Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya...
YALIYOJIFICHA JUU YA HISTORIA YA HIFADHI YA TAIFA ARUSHA NA MAAJABU YA VIVUTIO VYAKE.
EPISODE 1
Hifadhi ya taifa Arusha inapatikana kaskazini mwa Tanzania ndani ya mkoa wa Arusha. Ni hifadhi...
Karibu vikindu pwani wilaya ya mkuranga mtaa wa malela kisayan ujipatie kiwanja Kwa Bei nafuu ukubwa wa eneo ni futi 50 Kwa 40 Bei laki sita na huduma zote za kijamii zinapatikana Kwa muhitaji...
NYUMBA inapatikana MOROGORO mjini kwa wakazi wa Morogoro ambao mpo karibu naomba mtanisaidia kufika eneo nyumba ilipo.
Sijafanikiwa kupata PICHA kwasababu nipo Mkoa Tofauti (Dar) na taarifa hizi...
Wakuu hisense TV nchi 50 inauzwa
Smart TV
Ultra HD
Inapatikana kijitonyama,DSM
TV ina miezi 11, haijawahi sumbua
Inauzwa tsh 550,000
Mwenye uhitaji karibu PM tuyajenge
Habarini ndugu zangu!
Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu, natafuta mabati yaliyotumika. Kwa mtu yeyote mwenye nayo naomba tufanye mawasiliano nahitaji kama mabati 50. Pia natafuta ceiling...
Kahawa ni miongoni mwa zao la biashara linalolimwa ukanda wa Afrika Mashariki ikiwemo na Tanzania.
Mkoa wa Kilimanjaro ni miongoni mwa mikoa ambayo zao la kahawa linapatikana hususani kahawa aina...
Habari wana jamvi,
Nahitaji kufahamu wapi naweza kupata fundi mwenye ujuzi wa kutengeneza zip za sanduku. Au kuweka zip mpya kwenye sanduku kubwa.
Kama kuna mwenye namba au maelekezo nitashkuru...
Kanuni Na. 04.
Kuwa Na Fokasi.
Fokasi ni kuchagua mtaa mmoja na kuwaachia mitaa mingine wawekezaji wengine. Fokasi ni kujenga timu bora sana kwenye mkoa mmoja au wilaya moja na kuacha...
Darasa la leo ninakushirikisha moja ya kanuni chache za uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Kanuni ambazo ni muhimu sana kuzifahamu. Ni kanuni ambazo unatakiwa kuzifanyia kazi mara kwa mara ili...