Ramoth Gilead Appliances
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,768
- 594
karibuni
Demand yake ni ndogoNaomba kuuliza swali kwann Ac za super general zimekua adimu kupatikana
Je sababu ni bei yake ni kubwa au sababu ni nn
LgDual split AC unazo?.
Kama zipo, tuone picha.
Bei zako ni very competitive. goodluck!Lg
Btu 12 1,050,000
Btu 18 1,470,000
Btu 24. 1,800,000
Inategemea na matumizi ya mtuZinakula unit Ngai kwa saa
Napenda kujua kati ya AC zilizopo kwenye soko, ipi inatumia umeme kidogo kwa 18,000 BTU? Je kwa wastani inaweza kutumia unit ngapi ?Tunatoa huduma zifuatazo
Kwa walioko dar es salaam unaletewa Air conditioner, unafungiwa ndo unalipa iwe ni
- Tunafunga Air conditioner
- Tunafanyia services Air conditioner zilizofungwa tayari
Call/WhatsApp 0713520180
- Lg
- Samsung
- Gree
- Na nyinginezo zipo
Bei zilizopo za air conditioner hazijumuishi-ufundi sababu kuna watu wanataka tu kununua tayari wanamafundi wao