0716385824
Unamaanisha nn
unaweza kutengeneza app ya kuniwezesha ku reply meseji kutoka mitandao ya simu? Zile ambazo kwa hali ya kawaida huwezi kuzijibu? Eg za kukuonesha kiasi cha salio ulilo baki nalo au zile za promosheni. Coz kuna kitu nataka kufanya ambacho kitaishangaza dunia kwa muda usio pungua siku tatu. Ahsante.
Gharama zako na mawasiliano ndio kitu muhimu kwenye biashara ukishindwa ilo basi
Yah naweza kukutengenezea uka reply,ila hawata deliver sms yako