Natafuta vifaa vya kuinika (Enema)

Natafuta vifaa vya kuinika (Enema)

Joined
Sep 11, 2014
Posts
10
Reaction score
8
Habari gani wakuu? Nahitaji vyombo vya kuinika kwa ajili ya matibabu ((Enema), tafadhali alienavyo ani pm
 
mh! hapa sielewi, kwahiyo unaumwa Enema au?? na vifaa ujitibu?? au? au umtibu mtu? au we mganga? au? au? nadhani jukwaa la doctor umepeleka? au? sorry sielewi hv ndo ugonjwa gani vile? au?
 
.....nenda nakiete pharmacy mwenge utapata.
 
Back
Top Bottom