Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari zenu natumai wazima. Kuna ndugu yangu anatafuta nyumba ya kupanga maeneo ya buguruni iwe inamaji.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi wanajamii! I have a Toyota IST with D series registration (DCF) which i want to rent to anyone interested a fee of Tzs30,000 per day for all routes in Dar. Upcountry trips to be negotiated...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu zangu wanaJamii Forums Nina tani 500 za manganese,tafadhali yeyote anayeweza kuniunganisha na mununuzi anisaidie.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu mwenye simu za aina hyo tuwasiliane ili nizinunue. usinishaur kwenda dukan.
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Iwe laki mbili na iwe na kioo kikubwa na isiwe mbovu....mimi nipo serengeti
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Located at Mikocheni B 100 meter from main road. For sale by the owner.
0 Reactions
0 Replies
804 Views
SONY XPERIA Z2 Black 16GB internal storage Micro SD Slot Android 4.4.4 With original noise-cancelling headphones and charger. Will include Flip Case Price 550,000 used 6 months. In very good...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wanajamii forums. Nyumba ya kawaida ipo Vikindu kwenye barabara inauzwa million 20 ukubwa wa kiwanja chake ni 20 kwa 20 ina mpangaji mmoja.Alafu kuna heka mbili zipo Vikindu Magenge 20...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nauza laini yangu ya uwakala wa M-PESA kwa bei ya tshs.180,000/=,ina document zote.Napatikana Dar es salaam.Bei inapungua.Kwa anayehitaji namba yangu ni 0719265606. Karibuni sana
0 Reactions
1 Replies
800 Views
unlock your phone- use it with any sm card
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wanajamvi. Mwenye uwezo wa kutengeneza logo nzuri anitafute ili tujuzane. Tuwasiliane PM
2 Reactions
1 Replies
821 Views
Suitable for WiFi can't support sim card
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Nyumba ya vyumba 3 vya kulala , kimoja master jiko , dining , public toilet na store , inapangishwa eneo la kipunguni B mosh bar , maji yapo ya kutosha bei ni Tsh 250,000 kwa mwezi , miezi 6...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Gari inahitajika Mark II grand namb C iwe na hali nzuri cause itakua inasafiri mbali, kama ipo tuma picha kwa whatsapp number 0786 360 818 au piga simu.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya moshi mjini soweto,majengo,pasua,etc.Iwe ya kuanzia vyumba viwili na kuendelea na angalau kimoja kiwe master bedroom na jiko na sebule. Iwe na fence/ukuta na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Nyumba inauzwa....!! Ipo kigamboni block b ina vyumba 4 (self moja) pia ina sebule kubwa mbili, ina gereji/store.... Pia kiwanja cha nyuma ya nyumba, matenk ukubwa wa kiwanja ni sq meter 645 pia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habarini wakuu. Nina kiasi cha shillingi millioni 4, nahitaji gari zuri kwa ajili ya mizunguko ya hapa mjini, lisiwe na ubovu, liwe katika hali nzuri. Nipo Dar.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiwanja cha makazi kinauzwa eneo la Ilazo Dodoma, 3.5km kutoka barabara ya Dodoma-Dar es salaam. Bei ni Milioni 15, kina hati miliki pamoja na ramani ya kisasa. Huduma za umeme na maji zipo karibu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Model 2002 Cc. 1495 Garii hii haina tatizo bali tu inadaiwa road licence 1 million. Hiyo utalipa wewe mwenyewe ndio mana inauzwa kwa bei ya kutupa 2.8ml ABOUT ME! For More Information Please...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Iko katika condition nzuri.Na haina tatizo lolote. Kwa mawasiliano : 0712338291
0 Reactions
2 Replies
988 Views
Back
Top Bottom