Enjoy your TV

Enjoy your TV

poppah

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2014
Posts
630
Reaction score
548
1.Tunafunga madish ya vingamuz vyote Azam,Zuku,Star Times, DsTV nk.

2.Kwa wale wanaohitaj kuona mechi za mataifa ya Africa(AFCON) bila kulipia kwenye kingamuzi cha AZAM

3.Tunafunga channel za soka(mpira) usizolipia kwa mwez (yaan ni bure) EPL,LaLiga,Capital One, n.k

4.Tunafunga channel za CONTINENTAL yaan star Tv, Star Movies,Star Music,Star entertainment n.k (bila kulipia kwa mwezi) kwenye dish na king'amuzi cha AZAM

Kwa mawasiliano;
Mobile; 0686811173
Whatsapp; 0764453848

TAHADHARI; HUU SIO WIZI WALA UTAPELI
 
Mkuu huogop kufungwa ww,,,mana unachfany cdhan kama kinaruhucwa kisheria,,,tena kibaya zaid unajitangaza hadharan,,,,
 
huyu bwana naona kichwani kuna shida,magereza inamtamani,

ha ha ha haaaaaa! Harudi tena humu na namba alizo weka hapo atabadilisaha sasa hivi maana isha kuwa sooo! Huenda hakujua kama ni kosa kisheria kufanya wizi wa hvyo
 
Mkuu huogop kufungwa ww,,,mana unachfany cdhan kama kinaruhucwa kisheria,,,tena kibaya zaid unajitangaza hadharan,,,,

Mkuu hapo kitu ninachokifanya nakuingizia Free to Air channels ambazo sio Pay Tv(sio za kulipia).Kiufupi sifanyi hacking yoyote.
 
Kama unahitaji maelezo zaidi ni bora uniPM au nipigie kwa hizi namba juu kuliko kukejeli
 
1.Tunafunga madish ya vingamuz vyote Azam,Zuku,Star Times, DsTV nk.

2.Kwa wale wanaohitaj kuona mechi za mataifa ya Africa(AFCON) bila kulipia kwenye kingamuzi cha AZAM

3.Tunafunga channel za soka(mpira) usizolipia kwa mwez (yaan ni bure) EPL,LaLiga,Capital One, n.k

4.Tunafunga channel za CONTINENTAL yaan star Tv, Star Movies,Star Music,Star entertainment n.k (bila kulipia kwa mwezi) kwenye dish na king'amuzi cha AZAM

Kwa mawasiliano;
Mobile; 0686811173
Whatsapp; 0764453848

TAHADHARI; HUU SIO WIZI WALA UTAPELI

Mimi hobby yangu ni mieleka, hapo niende wapi ukiacha startimes ya kulipia?
 
Jamaa yuko sahihi kingamuzi cha Azam ni cha free style unaweza kukitumia kushika channel nyingi za FTA

Channel za soka anazozisema hapo juu bila shaka ni zile za Irib,tv3, etc
Ambazo ni Encrypted lkn kwa BISS Keys ambazo ziko free mtandaoni cha msingi kingamuzi kiwe na uwezo huo wa kuingiza BISS Keys
 
Jamaa yuko sahihi kingamuzi cha Azam ni cha free style unaweza kukitumia kushika channel nyingi za FTA

Channel za soka anazozisema hapo juu bila shaka ni zile za Irib,tv3, etc
Ambazo ni Encrypted lkn kwa BISS Keys ambazo ziko free mtandaoni cha msingi kingamuzi kiwe na uwezo huo wa kuingiza BISS Keys

Ahsante sana kwa maelezo yako
 
Back
Top Bottom