Nina Iphone 6 ambayo nimesahau password yake hivyo siwezi kuifungua, ni fundi yupi kwa Dar anayeweza kui flash ?? Nikipata mawasiliano yake ntapenda zaidi...Aksante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.