If you are in the business of selling laptops please inbox me.
There is a need for 15 laptops.
Specs: Core i3, HDD from 500Gb, RAM 4Gb preferebly Dell and HP.
If you have them PM me your prices...
Transcend/Western digital, 1tb with 200 Latest Movies and about 30 TV-Series for Sale.
Brand new.
Price: 195,000/- Kama Uko Mkoani utaongeza 5,000/- nikutumie kwa njia ya Basi.
Habari zenu?
Kama unamfahamu mwanamuziki yeyote anayepatikana Dar mjulishe kuna offer ya kushoot music video bure kwenye studio yetu mpya iliyofunguliwa hapa jijini, au kama ni ww mwenyewe basi...
Kipo mtaa wa kulangwa barabara ya kwenda madare kwa kawawa, ukubwa 20 kwa 15 bei kama bure, 6.7m, kipo jirani na barabara, umeme na ni sehemu iliyotulia siyo uswahilini.
No Dalali.
ipo dar es salaam ipo katika hali nzuri sana imekuwa imported toka uingereza imetumika hapa tanzania kwa miezi 5 tu, sababu ya kuuza ni kutokana na ukosefu wa usimamizi mzuri wa gari.
Foden...
Wana JF nahitaji kujua hvi ni kampuni gani Tz inatoa huduma nzuri ya insurance? Vilevile kama gari yangu ina thamani ya 10M. (Private saloon car)
Je, compressive insurance ni sh ngapi...
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya shekilango, makumbusho, moroco na kinondoni. Vyumba viwili vya kulala kimoja kiwe master, jiko, sitting room na choo cha public. Nina laki mbili na nusu kwa mwezi.
Poleni na pilika wadau! Nina Nyumba yangu jirani na Neruka, nataka kuiweka Sokoni,tatizo ni kuitathmini kujua market value, ni two bedroomed hse ilijengwa toka 1998 ukubwa wa eneo ni miguu 15/17...
Kipo Ilala Buyuni. Kina hatimiliki, bei 12.5milioni, ukubwa 400sqm 20x20. Kipo eneo la biashara ni miongongi mwa vile viwanja vya mradi wa viwanja elfu 20 vya mwaka 2000.
Mtaa wanaishi VIP tupu...
Apartment ya vyumba vitatu vya kulala, sebure, jiko pamoja na samani za ndani inauzwa tshs 340,000,000. Matharani umeinunua unataka kuipangisha waweza kupata kodi hadi tshs 3,000,000 kwa mwezi...
Lenovo viber X inauzwa 400,000 ni mpya kabisa! Ililetwa dar kwa ajili ya zawadi ila mlengwa yuko kijijin haiwez mfikia
Tafuta taarifa za ziada za hiyo sim ukiipenda niPM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.