Ninauza software kwa ajili ya kuendeshea duka la madawa.
Software inafanya yafuatayo:- Hapa naorodhesha baadhi tu
Kama kunadawa ndani ya duka zinakaribia kuisha muda wa matumizi Itakupa...
SASA, VITABU HIVI VIMEANZA KUPATIKANA..............................
PRONOUNS (VIWAKILISHI)
Pronoun ni neno linalotumika badala ya noun (jina). Kwa maneno mengine ni neno linalowakilisha noun...
Hallow kwa wale wanao hitaji kujenga mwili hasa watoto wachanga na watu wazima.. Chukua bidhaa hii ya unga wa lishe wenye mchanganyiko wa virutubisho vya hari ya juu na uliotengenezwa kwa ustadi...
Budget yangu laki 2
Iwe na bedroom 2, room moja iwe master
Sebure iwe kubwa kimtindo
Jiko muhimu
Iwe na uzio
Maeneo ya area c au d au mkuhungu
Ila priorite ni Area c.
Mwenye nayo aje pm.
Ndugu wadau tunauza nguo za mtumba kwa bei ya jumla pamoja na rejareja.Nguo tunazoziuza ni nguo za kike(nguo za wadada pamoja na wakina mama).Biashara hii tunaifanya online pia tunapatikana hapa...
A brand new modern house at Nyamagana Mwanza. The house have 2 bedroom and 2 bathroom. Cleaning services inclusive for only USD 700.
For more details on the house click; View Property
To view...
DUDUMIZI TECHNOLOGIES LTD, Leading Website design and Development Company in Tanzania is organizing 6 days Workshop to equip participants with the skills, knowledge and techniques of designing...
MASOMO- BURE KWA WENYE SIFA
.
- USHONAJI NA FASHION DESIGNING
TRUE ROAD COLLEGE OF DESIGNING, TAILORING AND BEAUTY
-Inapenda kutangaza kwamba inatoa fursa/nafasi 3 Kwa mafunzo ya kushona...
Tuna miti ya mitiki iliyo komaa tayari kwa kuchanwa mbao,shamba lina ukubwa wa hekari nane,mteja anaweza kuchukua kuanzia hekari moja kutegemeana na uwezo wake.Mteja anaweza kuniPM au tuwasiliane...
Nyumba ipo magomeni , barabara kuu ya Morocco , inaelekea kituo kikubwa cha mabasi cha DART .
Nyumba ipo kwenye kona na sasa hivi tyari ina milango 6 ya maduka .
ni pazuri kwa kupaendeleza na...
shamba lamiti linauzwa lina mi pine ya miaka nane kuelekea tisa.lipo njombe kilomita 30 kutoka mjini njombe lipo ndani ya halmashauri ya miji wa njombe.ni heka 6 linamiti 200 aina ya...
Nataka kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyounganika na dining..... maeneo ya Kwemakame/Kwai..
Kama uko maeneo ya karibu na hapo au lushoto mjini na una sifa ya kufanya kazi na mimi...
Nyumba inauzwa ipo MWANDEGE km 5 kutokea mbagala rangi 3, maeneo ya shule ya msingi mita 250 kutoka Barabara ya kilwa ina vyumba 3 ikiwemo master 1 na sting room, dining jiko na vyoo vote viko...
Tunauza mashuka makubwa ya cotton size 8*8.
Linakaa shuka moja na foronya mbili.Bei rejareja 20,000 tu.Jumla 18000 tu kuanzia pics 5
Tunapatikana sinza dar es salaam
0717373037 no ya oda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.