Bima za Magari

Bima za Magari

trplmike

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
701
Reaction score
798
Wana JF nahitaji kujua hvi ni kampuni gani Tz inatoa huduma nzuri ya insurance? Vilevile kama gari yangu ina thamani ya 10M. (Private saloon car)

Je, compressive insurance ni sh ngapi?

Natanguliza shukurani
 
trplmike,

Mimi juzi nmelipua insuarance third part ya gari ambalo ni cc 1400 nmelipia karibia 100, 000 ila kwa agent
 
Ulikata lini jaqfantasy212.nimekatia noa kwenye tawi la jubilee lilopo arusha.kwa 300000.
 
Mgeni insurance,maxinsurance na jubelee.wako poa na hata ikitokea ishu wanalipa faster.
 
Pia unaweza kwenda pale Zanzibar Insurance Lumumba Road Mkabala na Morogoro Road nao wapo vizur kwenye Bima zao.
 
Mama wee! Usinitoneshe kidonda, Zanzibar insurance ni wagumu kulipa sijapata ona..
Siwez kumshaur mtu akakate Zanzibar Insurance..lol
Asanteni kwa taarifa maana haya makapuni ya bima ni noma yakiwa yanatafuta wateja wanakuja kiungwana kweli kwenye malipo sasa na bado Vehicle inspector hajazingua hapo unaweza ukachanganyikiwa.
 
Never gonto Zanzibar Insurance utajuta mwenyewe. Jamaa hawana customer care nzuri, na ikitokea ukapata janga ujue utasota sana kupata malipo
 
Ni vizuri kupitia kwa Broker, 'i mean reputable broker' (hapa nashauri FNB wako mikocheni kwa Nyerere, Saris wako Masaki n.k). Itakuwa ni rahis sana kufuatilia madai yako pale unapopata tatizo.

Na waambie ni kampuni gani una-prefer wakukatie Bima (Hapa nashauri Jubilee Insurance au Alliance Insurance).

Ada unayolipa (premium) inakokotolewa kulingana na thamani ya gari yako. Kwa makampuni mengi ni 3% to 4.0%).

Tahadhari usikadirie thamani ya chini ya gari yako. Weka thamani ya 'market value' ili usije kulia baadaye.

okey trplmike & Ndechumia
 
Last edited by a moderator:
Asanteni kwa taarifa maana haya makapuni ya bima ni noma yakiwa yanatafuta wateja wanakuja kiungwana kweli kwenye malipo sasa na bado Vehicle inspector hajazingua hapo unaweza ukachanganyikiwa

Tatizo jingine la Watu wengi hawasomi 'terms' zilizoko kwenye mikataba yao ya bima (policy). Lakini ni vyema mtu kupitia kwa Broker anayeheshimika, wao ni rahisi sana kufuatilia madai yako.
 
Tatizo jingine la Watu wengi hawasomi 'terms' zilizoko kwenye mikataba yao ya bima (policy). Lakini ni vyema mtu kupitia kwa Broker anayeheshimika, wao ni rahisi sana kufuatilia madai yako.
asante kwa ushauri.
 
Back
Top Bottom