Nyumba / Apartment inauzwa Upanga

Nyumba / Apartment inauzwa Upanga

Kitomai

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
1,137
Reaction score
365
Apartment ya vyumba vitatu vya kulala, sebure, jiko pamoja na samani za ndani inauzwa tshs 340,000,000. Matharani umeinunua unataka kuipangisha waweza kupata kodi hadi tshs 3,000,000 kwa mwezi, kwa mwaka 36,000,000. Hii ina maana ndani ya miaka 10 utakua umerudisha pesa yako. Huu utakua ni uwekezaji wenye busara. Hata kama umekopa mkopo benk kwako itakua rahisi kurejesha mkopo kwa kutumia kodi. Kwa maelezo zaidi piga simu 0784225000 au kwa whatsapp tumia 0717114409
attachment.php


attachment.php


attachment.php
 

Attachments

  • DSCN0031.jpg
    DSCN0031.jpg
    24.7 KB · Views: 351
  • DSCN0032.jpg
    DSCN0032.jpg
    28.2 KB · Views: 340
  • DSCN0033.jpg
    DSCN0033.jpg
    28.9 KB · Views: 344
  • DSCN0412.jpg
    DSCN0412.jpg
    17.9 KB · Views: 147
  • DSCN0035.jpg
    DSCN0035.jpg
    14.6 KB · Views: 144
Umesahau picha ya nje mjengo ukoje!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom