habari wana jamvi
nauza samsung galaxy s5 bei chee kabisa tsh 600,000/= mzigo upo ktk halinzuri sana 7bu umetumika miezi minne tu!.
pia naweza fanya exchanges na mwenye smartphone yoyote ambayo...
LIle zoezi la kukopesha viwanja chanika linaendelea
Viwanja vinapatikana chanika mwisho eneo linaitwa
Lukooni pamoja na zingiziwa, ukubwa wa VIWANJA ni 20&20
Ukitaka kulipia cash ni sh milion...
Multifuction portable projector unaweza tumia kama power bank pia, unaweza unganisha toka ktk vyanzo mbali mbali, tv, laptop, phones etc
1. Input signal ni HDMI/HML
2. 45000mAh backup battery for...
Jamani,
Namtafuta Mr Magesa Mwita; alikuwa rais wa Chuo Kikuu Dar 2006/2007. Mwenye contact zake anisaidie, please. It is a very urgent political matter.
Kiwanja kipo kigamboni mjimwema-kibugumo.
· umbali toka ferry ni km 8.5
· umbali toka main road (barabara ya rami) ni meter 250.
· ukubwa wa kiwanjani 24m*23m
·...
Habari wakuu. Nauza printa zangu 2 jumla kwa bei tajwa hapo. Ni hp deskjet 1000 na hp pro mfp 125 nw. Zipo katika hali nzuri kabisa na wino.
Hii ya hp pro ni 3 in 1. yaani unaprint black &...
Nauza simu tajwa hapo juu haina tatizo lolote la kiufundi ni mali yangu nauza coz nina simu ingine,ni brand ya USA tmobile,,n used na ipo KatikaHali nzuri,0654835352
Habarini ndugu?
Ninashida na Computer (Desktop machine) aina ya Dell, iwe SFF na sifa zifuatazo:-
C2D/C2Q processor
Speed 3.00 Ghz +++
2GB RAM +++
160GB HDD +++
DVD ROM
Ijumuishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.