Stationary ya bei nafuu

Stationary ya bei nafuu

SectionTwenty

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
675
Reaction score
614
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo maana nataka sehem ya bei nafuu... Natanguliza shukrani
 
Stationary nyingi za hivyo zimejaa mabibo hostel, udsm chuoni na ubungo opposite na kituo cha mafuta kile zipo za kutosha
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo maana nataka sehem ya bei nafuu... Natanguliza shukrani

Unge eleza unapatikana maeneo gani ili uelekezwe vyema, kama mtu akisema iko sudan kusini je, utaenda?
 
Kama kuna mtu ana stationary yake au anaijua stationary wanayoprint kwa bei nafuu (sh 100 per page) naomba anielekeze kwan nna shida ya kuprint kazi yangu yenye page nyingi ila nna hela kdogo ndo maana nataka sehem ya bei nafuu... Natanguliza shukrani

=Stationery
 
Karibu Joana Stationery Digital Printing
Print full color A4 tsh 500 A3 1000 gross paper na za kawaida

Print black and white tsh 100 zikiwa nyingi tsh 50 Tupo savei karibu na bulls park
Mawasiliano 0755009950
 
Back
Top Bottom