salaam,mashuka yanapatikana ya cotton size 7/8 ,bei ni 25,000 tshs,ni makubwa,hayachuji,hayatelezi ukilalia,ni shuka moja na foronya mbili,napatikana segerea,ukihitaji mzigo unaletewa,mkoani...
husika na kichwa hapo nauza Automatic pump control ni mpya na sijawahi kunitumia , hii unafanya kazi pamoja na pump ya kupandishia maji sana sana kwenye pipa la maji, Huna hata ya kumsumbua...
Ndugu;salam zenu nyote... yeyote ajuaye kiwanja knapopatkana iwe kigambon mjimwema kiwanja kikubwa na kizur (ikbd kilichopimwa) bajet yangu n 5ml..... na pia chamaz km kipo.. natanguliza shukran...
Natafta nyumba ya kupanga inayoweza kukaa watu wawili (sharing) . Makumbusho , msasani Mwenge or isiwe mbali na posta na isiwe ghali sana . Nipe pm / offer
Nyumba mpya inapangishwa maeneo ya Kunduchi Beachi karibu na hoteli ya Silver Sands. Nyumba ina eneo la mita za mraba 300, vyumba 3, sebule, jiko na eneo la kutosha kwaajili ya maegesho ya gari...
Salamu zenu wote,
Nauza mafuta ya kupikia ya Alizeti ni mafuta halisi na yamethibitshwa na TBS. Bei ni kama ifuatavyo:-
Galoni za Lita 5x4(katoni 1) ni Tsh 60,000/-
Galoni za lita 3x6(katoni...
Habar wana jf.Kwa mahitaji yako yako viatu na handbag bomba za mitumba usisite kuwasiliana nasi dar tunakuletea ulipo mkoani tunatuma pia unaweza kutofollow pia instagram account...
Lg g3 gold 16gbhdd 2gb.ram 2.5ghz processor dualcore os4.4.2 adroid in very great condition comes with box.please serious buyer call:0758078512.0654870412
Have you ever heard about Internet of Thing????, Here it comes now you can control every home equipment by using your smartphone, kwa kutumia simu yako ya mkononi unaweza kurahisisha maisha, kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.