Nahitaj ipad 2 air used kuanzia 32 gb

Nahitaj ipad 2 air used kuanzia 32 gb

hatym

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
513
Reaction score
179
Mwenye nayo tuongee biashara bajeti yang ni 360,000
 
Mh.. Ipad 2 air kwa 360000 are you serous ...Nadhan kwa sasa ndiyo latest iPad ilyopo sokon kwa sasa . Hebu tusubir watalaam
 
Jamani mi na matatizo nilikuwa naomba ushaur nilianzisha mahucano na kihana ambae tulisoma shule moja mpaka sasa nimezaa nae mtoto mmoja yeye alikuwa anasoma huku mfanyakaz alie ajiliwa na ana mke na watoto wawil sasa ananisumbua sama nifanyaje?
 
Jamani mi na matatizo nilikuwa naomba ushaur nilianzisha mahucano na kihana ambae tulisoma shule moja mpaka sasa nimezaa nae mtoto mmoja yeye alikuwa anasoma huku mfanyakaz alie ajiliwa na ana mke na watoto wawil sasa ananisumbua sama nifanyaje?

Unatafuta matusi wewe, mtu kafungua uzi wake wewe unakosa ustaarabu unacomment mambo yako ya mahusiano?
Kwanini usifungue uzi wako kwenye jukwaa husika? Kwanini tunapenda kua sababu ya kuwakwaza wenzetu jamani?
 
Mh.. Ipad 2 air kwa 360000 are you serous ...Nadhan kwa sasa ndiyo latest iPad ilyopo sokon kwa sasa . Hebu tusubir watalaam

Mjomba hiyo ni serous ipi?hifadhi ya wanyama au serious?
 
Mkuu sidhan kama utapata, labda yenye tatizo. Mm ninayo ni GB 128, ukitaka leta laki 8.5 cellular & wifi, retina camera
 
Mh.. Ipad 2 air kwa 360000 are you serous ...Nadhan kwa sasa ndiyo latest iPad ilyopo sokon kwa sasa . Hebu tusubir watalaam

Mkuu hujaona neno 'used' au ndo kutaka kuonekana wajua zaid?nafaham hilo wala mi si mjinga...,ninahitaj hio kitu hata kama unayo ipad 3 ama ipad 1air,we njoo tuongee biashara
 
Back
Top Bottom