Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wanaJF, Jamani mimi nipo Dar es salaam, ninataka kufungua biashara ya kuuza nyama. Hivyo nahitaji kama kuna mtu yeyote anaejua zinakopatikana mashine za kisasa za kukatia na kusaga nyama...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Bandugu natafuta mashine ya kukatia nyama inayotumia ile misumeno midogo ya kukatia vyuma, ni kwa ajili ya matumizi ya butchery. Mwenye kujua habari ya hizi machine wapi zinapatikana hapa Tanzania...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakubwa, Natoa huduma ya ku-unlock blackberry, LG, Samsung and HTC. PM me or send mail at baraka607@gmail.com Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gari zote zina vibali hadi May 2015, Zinatembea. Land Cruiser: 2HT, 4WD, 3890cc diesel, inafaa kwa safari za porini. Suzuki Carry:660 cc BEI HAIPUNGUI. kwa mwenye kuhitaji piga 0684 559...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
an original HC memory card with 32gb capacity is on sale for only 25 thousands. If you are interested please contact me on 0656497469
0 Reactions
2 Replies
705 Views
Bei maelewano simu imetumika miezi 5 na external disk ni mpya
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wadau, nauza pikpik aina ya boxer imetumika mwezi na wiki kadhaa, imetumika kwa matumizi ya kawaida haina tatizo lolote na ina vibali vyote, risiti na insurance!! bai 1.8M naelewana yapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salamu zenu Wote, Nauza mafuta ya Alizeti Halisi bei ni kama ifutavyo:- Galoni 4 za lita 5(katoni) bei ni Tsh 60,000/- Galoni 6 za lita 3(katoni) bei ni Tsh 60,000/- Ndoo moja ya lita 10 bei...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nauza hiyo laptop kama ilivyoandikwa hapo. Unaweza angalia specifications zake mtandaoni kwa kuandika hiyo model hapo. Lakini kwa haraka haraka ina sifa hizi 4 GB RAM, internal...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Dell corei-3 ram 4gb hdd 320gb price 400 kama upo serious nichek 0716385824
0 Reactions
4 Replies
833 Views
Suzuki carry inauzwa imetumika wiki 3tu. Ya mwaka 1998.mi ndo mmiliki nauza sababu nimeshindwa kabisa kutumia manual .ilikua inatumika kwa kazi za nyumbani tu
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wakuu, Hii gari ni nzuri sana na imeingia leo Dar es Salaam kutoka Japan...anayeihitaji apige simu 0757-429923 mara moja tumpatie..Ina nguvu kama Ford Ranger..na ni four wheel drive kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaam wadau...natafuta kijani wa kusaidia kufanya kazi za shamba la mifugo...Awe kijani mwenye tabia njema na nguvu na pia mwenye kujua 2 3 juu ya ufugaji.Shamba lipo Morogoro...kwa maelezo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habari wana JF, mimi ni mwajiriwa katika airline moja hapa tz, naomba msaada wa kuzifahamu kampuni zitakazo weza kunipatia gari wabaki na original card ya gari then tuingie mkataba wa kuwalipa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wandugu naomba niweke wazi kuwa kuna mtu anatafuta nyumba ya kupanga ndani ya wilaya Kinondoni iwe ni self container isiwe uswahilini. Piga0755103405
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja chenye hati kinauzwa,kipo Tabata kisukulu-square meter 1100,bei 17m. Mawasiliano; 0714 569223
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu. Nina kiwanja nakiuza,kina ukubwa wa 40/40,kina sehemu nzuri na isiyo jaa maji wakati wote.Kipo meter moja toka ilipo nguzo ya umeme na hivyo kua rahisi mtu kujenga na kuweka umeme bila...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Tangazo la uagizaji wa magari makubwa na madogo mitambo na vifaa mbalimbali kama mashine za ujenzi wa barabara kwa kutumia garama zetu utalipa baada ya kupokea mzigo wako. Kwamaelezo zaidi piga...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Laptop imekufa motherboard, Vifaa vingine vinafanya kazi, kama 1. Monitor 2. Keyboard, 3. DVD Rwr, 4. Processor 5. HD 6. Mouse 7.Power supply n.k Nipo DSM, Contact: 0752953860
0 Reactions
0 Replies
563 Views
Nauza IPhone 4s 16gb 300,000
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom