Plot Agent
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 311
- 20
*Kiwanja Kipo Goba Tegeta 'B'
*Ukubwa 1200 Mita za Mraba.
*Gari linafika hadi kwenye kiwanja.
*Umeme Upo jirani.
*Hakina hati wala hakija Pimwa.
*Hakina Migororo, Mwenye kiwanja anaishi hapohapo.
Bei Milioni 24.
Contact: 0752953860
hayo maporomoko ya kulimia mpunga au kufua umeme wa maji?
Kwahyo wewe unataka kupanga bei yako? tafuta chako upange bei yako sio kushededea vya watu ?????????Tshs 24,000,000÷ Sqm 1,200
= Tshs 20,000/Sqm (Unsurveyed Plot)
Mbona unajistukia na kupanic ovyo?Kwahyo wewe unataka kupanga bei yako? tafuta chako upange bei yako sio kushededea vya watu ?????????
Mbona unajistukia na kupanic ovyo?
Mimi nilichofanya ni kuifafanua bei yako. Au nilichoandika Mimi na ulichoandika wewe ni tofauti?
Madalali mna shida sana, pengine ni sababu tu wengi wenu shule-less hivyo mmeamua kutokea kwa mlango huo.
Wewe ndiyo shule hauna, nani kakwambia madalali hawana shule? Ahahaha.... Ebu pita pale ardhi university ujione udalali ni course watu wanasoma, bwiga wewe
Bora umueleze huyu tapeli aliejivika udalali feki!Hakuna mtu wa kunua kiwanja huko pasipo na barabara tena 1200sqm kwa 24ml.
Bora aongeze akanunue sehemu inayofifika.
Mbona unajistukia na kupanic ovyo?
Mimi nilichofanya ni kuifafanua bei yako. Au nilichoandika Mimi na ulichoandika wewe ni tofauti?
Madalali mna shida sana, pengine ni sababu tu wengi wenu shule-less hivyo mmeamua kutokea kwa mlango huo.
Wewe ndiyo shule hauna, nani kakwambia madalali hawana shule? Ahahaha.... Ebu pita pale ardhi university ujione udalali ni course watu wanasoma, bwiga wewe
Hakuna mtu wa kunua kiwanja huko pasipo na barabara tena 1200sqm kwa 24ml.
Bora aongeze akanunue sehemu inayofifika.
Sema Goba sipajui ashamba wewe sio unaleta bwebwe hapa, acha kuongelea watu jizungumzie mwenyewe kama huna pesa piga kimya. Mshamba wewe
Ukiambiwa huna elimu unabisha, ndio umeandika nini sasa?
Wewe MEMKWA inakuhusu vilivyo!
Kilaza wewe, Kweli wewe mburura sina muda mchafu wa kupoteza kubishana na mjinga Kama wewe
Ha ha ha,Kilaza wewe, Kweli wewe mburura sina muda mchafu wa kupoteza kubishana na mjinga Kama wewe