Furniture mbali mbali zinauzwa

Furniture mbali mbali zinauzwa

Mbwambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
625
Reaction score
95
Vitu mbali mbali vinauzwa:-


  • System, radio ya sony whats 4600 beiyake-300,000/=
  • Meza ya chakula ya mninga na viti vyake sita-260,000/=
  • Kabati la TV na kuwekea vitu vingine kubwa- 300,000/=
  • Makochi/sofa kubwa- watu 3-300,000/=
  • Madogo mawili kila mmoja (kochi)-100,000/=

Vyote viko kwenye hali nzuri tu.

Wasiliana nami kwa namba 0713-689665.


 
Ugeweka picha na mahali vinapopatikana kwa sasa, ingekuwa poa zaidi.
 
Weka full details. Mbona unafanya biashara kwa wasiwasi mkuu.
Picha
Ulipo
Simu sio kila kitu.
 
kwani unaogopa kulipa kwa kitu gani labda? mimi sitadai kitu usichokuwa nacho.

Modes of payments cheques, cash and batter hapo kwenye batter(exchange of goods) nipahofia
 
Back
Top Bottom