Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae

Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae

lusubilo mwakosya

New Member
Joined
May 15, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Mimi ni mwalimu Mariam Daniel Malanga, nafundisha Tabora, Nzega. Ninatafuta mwalimu wa kubadilishana nae aje huku Nzega, atokee Mbeya, Iringa au Sumbawanga.

Contacts: 0689404936 au 0764507121 na 0717435330.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom