Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa wakazi wa Mwanza au yeyote mwenye ufahamu wa jiji hilo, naomba kujulishwa mahali lilipo duka ninapoweza kununua Professional camera aina ya Nikon D3200.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Tunapenda kuwatangazia kuwa tumetengeneza Android App inayoitwa Grab! Bajaj App. App hii inamwezesha mtu yeyote kuona orodha za bajaj zilizozopo karibu na eneo alipo (Tanzania) pindi anapotaka...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
nyumba imekamilika ina vyumba nane na kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 24 na hati ipo. ipo kigamboni kisiwani na barabara ipo kubwa mpaka kwenye nyumba bei ni mil 100 karibu kuiona na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni simu ambayo ipo katika hali nzuri bei 200000 mahali Makambako Mkoani Njombe. Kwa anaehitaji, 0752048709. Karibuni
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninauza eneo zuri ni kama heka 2,linafaa kwa makazi ama kufuga, Kwa mawasiliano unaweza ni pm kwa simu hii, 0767 932 781
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Uwanja upo Kigambon karibia na ujenzi wa waturuki,bukubwa wa uwanja ni m.sq 2800 bei ni.mil 80 lakini,maongezi yapo, kiwanja kimepimwa na kina hati miliki. Kwa mawasiliano nitafute hapa 0768359292
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza gari yangu aina ya Isuzu NQR70 Ni ya Diesel Manual Canter Ya Mizigo Nyeupe Imetembea 93K One Owner Runs Excellent Bei Ni Tshs Mil 26. Tuwasiliane 0713 505 435
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa anayehitaji mafundi kwa ajiri ya ujenzi wa nyumba,kupaua,na ujenzi wa mabanda ya mifugo,mashelf ya biashara ...... Tuwasiliane kwa namba 0753044414 na 0763600331 kampuni ya Shilatu co.ltd
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawayuni, Nahitaji viti na meza za kukodi (200) kwa ajili ya sherehe Jumapili ijayo. Kwa mwenye navyo ani PM nipo Bunju. Asanteni DA
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama unayo niPM nitakuapa namba whatsapp tuwasiliane vizuri, thanks
0 Reactions
0 Replies
777 Views
Inahitajika gari RAV 4 old model ya 1997 - 1999, 5 doors, ambayo ipo katika good working condition na yenye vibali vyote. Gari ipatikane Dar es Salaam. Tuma details za gari na pics zake pamoja na...
0 Reactions
0 Replies
818 Views
Kwa wanaokujua Fukayosi au wanaopita njia hii ya Bagamoyo Msata watajua ninachotaka kusema. Kama unakwenda Fukayosi ukitokea Bagamoyo, mara baada ya kuvuka daraja la mto Ruvu upande wa kushoto...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
A 154,000 SQUARE METRE (37 ACRES) PLOT IS FOR SALE IN ARUSHA Location: Themi Ya Simba Arusha, about 28 KM from Arusha City Centre Document: Title Deed (Attached) Price: TZS. 2.8 Billion ( USD 1.5...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Wakuu heshima zenu, Kile kiwanja nilichokuwa nakiuza, bado kipo hakijapata mteja, aliyesiriasi anipm, tuweze kuongea zaidi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kwa mwenye bata mzinga wa kuuza au anayemfahamu muuzaji ani pm tuweze kufanya majadiliano ya kibiashara. Mahitaji yangu ni bata mzinga wa3 wadogo ( miezi mi2 hadi mwaka) Mimi nipo dar...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mwenye nayo anichek pls nahtaj cpu kwaajili ya matumiz yangu aliyenayo anichek iwe used but in a good condition an wallanty pia ni PM
0 Reactions
2 Replies
881 Views
Ndugu wadau, baada ya kuchoka na kero ya usafiri katika jiji la Dar es salaam, nimeamua kujichanga kwa ajili ya kununua usafiri. Sasa nahitaji gari moja kati ya haya; Toyota vitz, Toyota passo na...
3 Reactions
36 Replies
25K Views
Zipo mbili zote ni mpya kabisa zinapatikana sasa 32GB internal memory Bei ni 490000 Full accessories Mawasiliano 0653177733
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Waungwana mwenye moja kati ya cm hizo hapo juu anipm
0 Reactions
1 Replies
901 Views
We are selling classic wedding dresses. Available for both hiring and selling. Retail and wholesale. Contact our face pages East Africa wedding dresses supplies, and Emmanuel bridal shop. Bei ni...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…