Agent wa grab! Bajaj app wanahitajika

Agent wa grab! Bajaj app wanahitajika

Software Engineer

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2014
Posts
344
Reaction score
137
Tunapenda kuwatangazia kuwa tumetengeneza Android App inayoitwa Grab! Bajaj App.

App hii inamwezesha mtu yeyote kuona orodha za bajaj zilizozopo karibu na eneo alipo (Tanzania) pindi anapotaka kutumia usafiri wa bajaj. Mtumiaji anawezakuchagua bajaj aipendayo kisha kupiga namba za simu za bajaj husika.

Ingia Playstore weka search keyword GRABBAJAJ, ukishaipata install kwenye android device yako.

Tunakaribisha MA-AGENT (watakao shirikiana nasi katika kusambaza na kuuza hii app kwa walengwa) kutoka sehemu mbali mbali za Tanzania ambazo BAJAJ zinatumika.

closest_bajaj.JPG you_are_here.JPG

Pia unaweza tembelea account yetu ya instagram grabcityinfo ili uone picha chache za namna app hii inavyofanya kazi.

Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kupitia email:- BONYEZA HAPA

Grab! City Info Co.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom