Nakupa blackberry torch 9800 used haina tatzo lolote kabisa pamoja na tecno M3 imetumika kwa mwez mmoja na nusu,ina kila kitu chake mpaka waranty yake. Wewe utanipa simu gani moja isiyo na tatizo...
Simu tajwa ni used ila ipo katika hali nzuri inauzwa kwa 300000.piainawezaa kama inawezekana tunaweza kubadilishana na simu nyingine(s4 preferred) kisha utaongezwa mpunga.
Kwa walio interested...
Habarini wakuu,,
Natafuta nyumba ya kupangisha nzuri, vyumba viwili au vitatu na sebule, self, iwe na geti. Ikiwa maeneo Tabata, kurasini, makumbusho au Ubungo ni vizuri japo ikiwa maeneo mengine...
Kiwanja kinauzwa kipo Mbweni, nyuma ya shule ya Bakili Muluzi. Kina ukubwa wa sqmt 1100 kimepimwa na kina Hati. Bei ni Tsh 45 Millioni (haishuki) Contact 0712859537 Dalali hatakiwi.
Kiwanja kipo Kigamboni eneo la SUMANGILA mwanzo mugumu Dar es salaam. Kina hati na ukubwa wa eneo sqm 1500.Ni mwendo wa 28km toka feri ya Magogoni , bei ni 22m Tuwasiliane 0657145555.
Aina:Dell laptop
HDD:500GB
Ram:4GB
Processor:2.3GHz
Wifi and bluetooth connectivity
3USB Port
Betry life:one hour
Price:480,000/=
Inapatikana Dar es salaam Mikocheni
Kwa...
nyumba inapangishwa arusha eneo kibanda maziwa. Nyumba ina chumba kimoja cha kulala sebule na choo ndani ziko 3 kwenye compound moja. Ziko karibu na barabara kuu ya nairobi. Ina geti maji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.