Habari zenu wakuu, mim ni kijana umri wangu ni miaka 23, natokea dar,Ila kwa sasa naishi moshi,kutokana na mishe zangu za kikazi nahitajika nikakae Arusha.kwa hivyo natafuta mtu Wa kuchangia nae chumba ili tusaidiane gharama za kodi.Mtu yeyote alietayari ningeomba ani pm contact Zake nami nimpe zangu au tuwasiliane kupitia meddynassa@gmail.com.
Vigezo:
1:Awe mvulana asizidi miaka 28
2:Asiwe mgomvi,mlevi, mvuata bangi au sigara
3:Asiwe na tabia za kishoga
4:awe tayari kutoa Ushauri na awe tayari kushaurika
5.awe mpore na mkarimu
6.sichagui dini,kabila,wala mkoa anaotokea.
Vigezo:
1:Awe mvulana asizidi miaka 28
2:Asiwe mgomvi,mlevi, mvuata bangi au sigara
3:Asiwe na tabia za kishoga
4:awe tayari kutoa Ushauri na awe tayari kushaurika
5.awe mpore na mkarimu
6.sichagui dini,kabila,wala mkoa anaotokea.