Shamba la miti linauzwa

Shamba la miti linauzwa

kibavu

Senior Member
Joined
Oct 15, 2008
Posts
136
Reaction score
82
SHAMBA LA MITI LINAUZWA

Habarini wana Jamvi.

Shamba la miti lenye ukubwa wa takribani ekari sabini (70), linauzwa (Ardhi pamoja na miti).
Mahali. Nje ya Kidogo ya mji wa Mafinga, Mkoani Iringa
Aina ya Miti: Pines
Umri wa Miti: Miaka 7 (kuna ambayo ipo tayari kuvunwa)
Bei: Maelewano (Unaweza kununua kwa ekari (vipande) au lote. [/B]

Kwa atakayehitaji
Mawasiliano: 0766300562/0716627557
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom