Jeff mobile car wash

Jeff mobile car wash

bigjeff

Senior Member
Joined
Oct 25, 2009
Posts
111
Reaction score
22
Jeff mobile car wash

attachment.php
 

Attachments

  • page-0.jpg
    page-0.jpg
    853.9 KB · Views: 629
mkuu thanks,tunakibali kutoka Manispaa na uwoshaji wetu ni wakutuza mazingira hatumwagi maji mengi ni 2-5itre kwa gari.
 
Mkuu hongera sana kwa idea nzuri sana mpo maeneo gani

Asante mkuu tupo kijitonyama kama centre yetu sema office zipo ppf house,ground floor,na sasa hivi unatupigia simu tunakuja kwako kukupa huduma Kinondoni areas,na Ilala(mjini) but soon tutakuwa na station zetu sehemu tofauti tutaanzia na Masaki/oysterbay na upanga,karibu sana mkuu
 
Hongereni sana.
Haya ndio mawazo tunayoyataka kwa vijana kama sie.

Ila mwambie Boss kwamba atengeneze website,na pia awe na Official email sio hiyo ya Kindergarten.
Angalua hata website yenye page moja au mbili tu ambayo hata Laki tatu hazifiki.
Maana maeneo mnayo deal na mnayoelekea ni maeneo ya VIP na VVIPs,.Sasa wenzetu wanatabia ya kujua ni namna gani kazi yenu mnafanya na maelezo ya ziada.Yaani kama mkiwa vizuri basi mtapenya sana.

Huo ni ushauri tu,maana hii ndio Bongo,anaweza kuja mmoja akafanya zaidi yenu na kuwa maarufu kuliko nyie kisha nyie ndio mkaja kushtuka.

Mfano mmoja nikupe,kwa kumbukumbu zangu Mfumo wa Mobile Money ulianzishwa na Celtel(Airtel),lakini wakawa hawajajiandaa kisha wakasitisha,wakaja Voda na Tigo wakafanya balaa la mapinduzi ya kasi sana.Leo Airtel wanaibuka hawana jipya tena watu waliishakamata soko zamani sana na wao kurudi kwenye ushindani inakuwa ngum,kwa tafsiri fupi imekula kwao.
Sasa na nyie lazima muweze kutumia fursa,msikwepe gharama za kuweka sawa ofisi yenu,maana akitokea mtu ku beat hapo itabidi mtumie gharama mara mbili.
All the best

Ni mtizamo tu.
 
kaka nashukuru sana kwa muda wako na mawazo yako,kweli kabisa ulilosema na tupo kwenye process za vitu hivyo ulivyotushauri,Asante sana mkuu.
 
aisee nimeipenda hii.....japo nasikia ka wivu kwanini sikuwaza kama wewe but hii ndo changamoto tunayohitaji vijana.....great idea great mind....keep it up
 
Asante sana kaka..wivu wamaendeleo ni mzuri karibu sana
 
kwa lorry tunazo machine kubwa kwa ajili ya malori na gari kubwa..usihofu kuwasiliana na sisi tunakufuata mpaka mlangoni karibu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom