Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

ZIPO POA ZIMESIMAMA USED FROM DUBAI BEI 590000 MAONGOZI YAPO 0713 387545 SMS UTAPIGIWA 0687-387545 NETWORK Technology GSM / HSPA / LTE LAUNCH Announced 2014, February Status Available...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Habari zenu wakuu, Kama una mzigo wako wowote kutoka popote pale (iwe mikoani au nchi za jirani kama Kenya na Uganda) unafikia Dar nawewe haupo Dar unahitaji mtu wa kwenda kukupokelea na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hi wanajamvi, kiwanja kinauzwa maeneo ya St.Joseph university Mbezi ya Kimara, bei 19 millioni, maongezi yapo, ni pazuri saana sana, maji ya DAWASCO yapo, umeme nguzo ipo hapo hapo, majirani wapo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu, Tuna kodisha kumbi mbili mpya hapa Morovian jirani na Mianzini trafic lights.Kumbi zetu ni nzuri kwa shughuli yeyote ya kijamii kama harusi,send off,ubarikio nkUkumbi wa kwanza una...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
habari wadau. chumba kimoja kinapangishwa ubungo external.. near mabibo hostel. kuanzia tarehe 1/7/2015,,, kipo ndani ya fence na kuna geti, kuna umeme na maji dawasco. na maji ya kisima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba linauzwa Chanika Mwanzomgumu Dar lina ukubwa wa ekari nne lipo katika mazingira mazuri na gari inafika mpaka shambani, kila ekari ni tsh 1,300,000 maelewano pia yapo kwa mawasiliano 071461548
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Simu hii ipovizuri kabisa haina hitilafu hata kidogo kila kitu kipo inagharimu TSh 180000 tu.imetumika wiki tatu sasa,sijazoea simu ngumu kutumia hizi.
1 Reactions
0 Replies
912 Views
Kwa wanaopenda blackberry phone nna simu tajwa hapo juu iko kwenye hali nzuri kabisa na bado ni mpya kabisa inauzwa sh 80000(elfu themanini tu) kwa aliye tayari anicheki kupitia 0764339400.mie nko...
0 Reactions
2 Replies
754 Views
For those who need to start the blogging bussiness i have i right solution for you i have deigned it to blog about jobs post and resumes advertisements it allow job submission from from front end...
1 Reactions
0 Replies
571 Views
Wakuu, Naomba kuulizia bei ya pikipiki kubwa aina ya BAJA kwa bei ya dukani(Mpya) na zile used, pia kama kuna seller wa hivi vitu naomba ani PM. Kazi njema
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kipo Pugu-Kinyamwezi,kipo jirani na barabara kuu,kipo sehemu nzuri,barabara ipo,ukubwa ni sqm625(mita25*25),bei ni milioni2 na laki9(2.9mil).
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Master inapangishwa Keko Juu Karibu na chuo cha duce Bei ni 1400,000/= (laki na arobaini) kwa mwezi kodi ya mwaka kwa mawasiliano 0719077350
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu. Nina 5ml ninahitaji gari lenye sifa hizi. linatumia petrol. AUTOMATIC Lisizidi 2000cc engine size. Bodi liwe na rangi safi toka kiwandani na sio ya kupakwa. Nipeni stori.
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Njoo inbox kwa maelezo zaidi
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ama unatatizo kama hilo au mengine yanayo endana na hayo.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Bei sh laki 4 na nusu,nimeshindwa upload picha,naweza kukutumia kwa whatsapp
0 Reactions
0 Replies
745 Views
Kiwanja kimepimwa, ni cha mradi wa manispaa ya temeke. Kina sqr mtr 1750, kwenye ramani kiko kwenye kona pacha za mtaa. kinafaa kwa ujenzi wa nyumba ya makazi, guest house, hotel n.k. Ninakiuza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana jf nauza printer Ina scanner na copier Bei tshs. 300,000/= karibu tuongee.
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Nahitaji reams kwa bei chini ya 30,000. Reams ya karatasi A4. Nipo Moshi Kilimanjaro.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom