Gari linauzwa

Gari linauzwa

98mzavallah

Member
Joined
Feb 13, 2015
Posts
37
Reaction score
12
Njoo inbox kwa maelezo zaidi
 

Attachments

  • 1434465629619.jpg
    1434465629619.jpg
    70.8 KB · Views: 674
  • 1434465656050.jpg
    1434465656050.jpg
    69.4 KB · Views: 584
Walau ungetoa na maelezo ya jumla ambayo hayahitaji inbox ...mfno agri la mwaka gani,wewe upon wapi, etc
 
Kumbe amebeep ili aulizwe zaidi? Ngoja ikufie km unadhani second hand car ni dili kiasi kwamba unashindwa kutoa maelezo ya kujitosheleza
 
Kumbe ndio maana anaogopa kutaja hapa ameni-inbox eti 8.5m kwa kagari haka? Ndio maana ameogopa kuweka hapa bei.
 
Habari wapendwa, gari ni aina ya starlet inapatikana jijin Dar, ya mwaka 1998, Cc 1300, kwa mwenye kuhitaji tafadhali tuwasiliane kwa namba 0757 85 23 33, gari lipo ktk hali nzuri. Karibu.
 
Utakuwa dalali wewe...

Unauzaje gari kwa wogawoga kama unauza sigara mwitu vile...

Habari wapendwa, gari ni aina ya starlet inapatikana jijin Dar, ya mwaka 1998, Cc 1300, kwa mwenye kuhitaji tafadhali tuwasiliane kwa namba 0757 85 23 33, gari lipo ktk hali nzuri. Karibu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom