Ukumbi unakodishwa Morovian Arusha

Ukumbi unakodishwa Morovian Arusha

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,521
Reaction score
14,000
Habari zenu,

Tuna kodisha kumbi mbili mpya hapa Morovian jirani na Mianzini trafic lights.Kumbi zetu ni nzuri kwa shughuli yeyote ya kijamii kama harusi,send off,ubarikio nkUkumbi wa kwanza una uwezo wa kuchukua watu walioketi zaidi ya mia mbili na wa pili una uwezo wa kuchukua watu arobaini hadi hamsini.

Huduma zote za ulinzi,parking,vyoo,umeme wa uhakika wa kawaida na genereta vinapatikana.

Bei: Ukumbi mkubwa LAKI SITA,ukumbi mdogo LAKI MBILI KWA SIKU MOJA.

Hizo bei hazijumlishi viti na meza.

Ukumbi utakuwa tayati kutumika kuanzia 01/07/2015

Mawasiliano ni PM
 
Angalia hizo ni baadhi ya picha.

weka picha tafadhali


View attachment 260691 DSCN3803.JPG DSCN3806.JPG DSCN3808.JPG DSCN3810.JPG DSCN3809.JPG DSCN3814.JPG
 
Unakodisha ukumbi bila viti na meza watu waje na viti vyao na meza zao au meza na viti vinakodishwa pia? Kweli tupo nyuma sana kwa advertisement .
 
uwezo wa kufikiri na kuelewa tupo tofauti.

Viti na Meza hatuna kwa sasa,kwa hiyo mtu anaweza kukodi toka kwa supply yeyote amjuaye.Ila baadaye tutakuwa na viti na meza zetu wenyewe.


Unakodisha ukumbi bila viti na meza watu waje na viti vyao na meza zao au meza na viti vinakodishwa pia? Kweli tupo nyuma sana kwa advertisement .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom