spray
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 277
- 241
Hi wanajamvi, kiwanja kinauzwa maeneo ya St.Joseph university Mbezi ya Kimara, bei 19 millioni, maongezi yapo, ni pazuri saana sana, maji ya DAWASCO yapo, umeme nguzo ipo hapo hapo, majirani wapo, 800 sqms.
Unaweza kujenga hostel au nyumba ya kuishi, Kama upo interested pls ni PM
Kama unataka picha nitumie namba yako PM nikutumie picha hapa najaribu sana inagoma sijui kwanini
Unaweza kujenga hostel au nyumba ya kuishi, Kama upo interested pls ni PM
Kama unataka picha nitumie namba yako PM nikutumie picha hapa najaribu sana inagoma sijui kwanini